changamoto za upweke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. AmKATRINA

    Naona maisha yangu yako ukingoni, Sina Pesa wala kazi

    Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri. Sina kazi, Sina pesa, Sina anipendaye. Sasa Duniani nafanya nini? Leo tarehe 10/02/2025 Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki. Napambana naona nimefika tamati. Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu. Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️ Wenu...
  2. Mshana Jr

    Upweke wa kutisha zaidi si ule unaotokana na kuwa peke yako, bali ni ule unaotokana na kutoeleweka

    Upweke wa kutisha zaidi si ule unaotokana na kuwa peke yako, bali ni ule unaotokana na kutoeleweka; upweke wa kusimama katika chumba chenye watu wengi, ukizungukwa na watu wasiokuona, wasiokusikia, wasiojua kiini cha kweli cha wewe ni nani. Na katika upweke huo, unahisi kana kwamba unafifia...
  3. Manyanza

    Upweke : Fahamu viashiria vya upweke,vyanzo vyake na madhara yake & njia 4 za ufumbuzi

    Kila mmoja huwa anajisikia upweke baadhi ya nyakati.Upweke haubagui,hauchagui unatokea kwa watu wote duniani matajiri kwa maskini,wasomi na wasiofika shule,wazee kwa vijana,waliopo kwenye mahusiano kwa ambao wapo "single" ,upweke unatokea kwa wagonjwa na wenye afya. Utajuaje kama wewe ni mpweke...
  4. TheForgotten Genious

    Hii hali inanipa upweke sana nimejitahidi kuikwepa lakini wapi

    Katika maisha yangu yote sijawahi kuwa na marafiki,na sipendi kabisa masuala ya marafiki,hata nikipata tatizo sina rafiki wa kumwambia mtu pekee ninayeweza kumwambia ni mama tu. Lakini pia si mtu mwepesi wakueleza hisia ama changamoto zangu kirahisi hata kwa mama,huwa namueleza nikiona kabisa...
  5. MaT2B

    Binafsi upweke unatesa kinoma

    Weekend ndio inaendelea hivyo nimetoka job. Gheto liko, kimya. Hakuna hata mwanamke wa kuongea naye. Hali ya upweke inanijia.. Nashika simu, upande wa contacts hakuna hata jina la kike nipige. nahisi mimi na mtatizo.
Back
Top Bottom