changamoto za waamuzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Kwa hii tension kwa waamuzi iliyotengenezwa na Yanga na wachambuzi, mechi ya Derby walete mwamuzi kutoka nje

    Kumekuwa na tension ambayo Yanga wanaitengeza na huwa inawapa faida. Mfamo dabi iliyopita tuliona wazi kabisa mchezaji akichezewa faulo ndani ya box lakini mwamuzi alimeza kipenga zaidi ya mara mbili. Hii ni kwa vile kwa hapa nchini, ili iwe penalty hadi mtu avunjwe mguu au mbavu. Pia magoli ya...
  2. Pdidy

    Hizi pesa za nbc leaugue nashauri benki yetu pendwa nsaidie yatima na wajane kwa matukio ya marefa kaburibuni tuna dhambi kubwa sana

    Tumwinbe Mungu sala ZETU ziwafikie mzifanyie kaziii NASHAURI kwa MATUKIO machafu yanayoendelea LIGI ya NBC via marefa Naomba mwakan muwaachie wenyewe wapambane na hali zaooo Hizi PESA za WAAMUZI zinaonekana aziwatoshi kabisa na sasa wameona wanxe kuharibu mechi za LIGI yetu Mungu atusaidie...
  3. Morning Glory1

    Azam media na NBC amkeni kwenye usingizi. TFF, bodi ya ligi na kamati ya waamuzi inawaharibia biashara

    Azam media na NBC bank inamana bado hamjaliona hili...ukiangalia mechi ya leo ya simba na namungo jinsi refa halivyoboronga mechi hakuna mtanzania atakaetamani kulipia 28,000 yake kuangalia uozo kama huu unaoendelea kwenye ligi yetu Refa anatoa kadi nyekundu ambayo haieleweki...refa ametoa...
  4. ngara23

    Waamuzi wa kike kuchezesha mechi za kiume ni kuwadhalilisha hadharani

    Kwanza nikiri wazi naamini football sio mchezo mzuri Kwa wanawake kushiriki katika kucheza au uamzi labda kwenye uongozi na nafasi nyingine katika football Si busara wala tamaduni zetu Africa wanawake kuchangamana na wanaume hivo bila stara Football ni mchezo wa kugusana Ni rahisi mwanamke...
Back
Top Bottom