changamoto za walimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ujumbe kwa serikali kupitia fasihi juu ya changamoto za walimu by John Woka & Mkoloni - Walimu

    CHANGAMOTO ZA WALIMU KATIKA TAIFA LETU LA TANZANIA.. "kutokana na uhalisia kwamba hali ya elimu kuzidi kuwa mbaya nchini hali hii imetokana na Changamoto zinawakabili walimu kama ifuatavyo:- 1: miundo mbinu mibovu.Hali hii husababishwa na serikali na wananchi kutotilia mkazo katika swala...
  2. B

    Utatuzi wa changamoto za walimu Mwanza ni changa la macho na uongo mkubwa kuwahi kutokea

    CWT mkoa wa Mwanz kwa kushirikiana na maofisa kutoka waizara ya Utumishi wa Umma iliaandaa kliniki ya utatuzi wa changamoto za walimu jana 13, October 2024. Badala ya kutatua changamoyo kilichotokea ni maafisa wa Utumishi Dodom kutoa ushauri tu na hakuna afisa aliyetatua changamoto hata moja...
  3. Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Hili la walimu kufanya mtihani ndowapewe ajira naunga Kwa mikono miwili, niliwahi kupendekeza hili kwamba kwanini walimu hawafanyiwi written interview ambayo kimsingi ndomtihani wenyewe Ukienda shule za private ambazo ni vinara wa kuongoza mitihani ya taifa, walimu wao wanapewa mitihani kabla...
  4. Wazazi wa Tanzania na elimu

    Mwalimu: Ndugu mzazi nakuomba uje shule, mwanao anatupa wakati mgumu Mzazi: Ndugu mwalimu, hata huku anatupa wakati mgumu kuliko ambavyo unafikiria lakini hatujawahi kukuita Bongo Nyoso..!!!!
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…