Join RSTMH & who on #WorldNTDDay for a free webinar exploring climate change, malaria, & NTDs. 📅 30 Jan, 12:30–1:30 PM GMT
Highlights: insights from a major scoping review + expert speakers
Don't miss it - register now:
#ClimateHealth #NTDs #BeatNTDs
Matukio yaliyoendelea katika hafla ya utoaji tuzo kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change iliyofanyika Septemba 21, 2024 katika Hoteli ya Johari Rotana, Dar es Salaam, ikihudhuriwa na Wageni Mashuhuri wakiwemo Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Christine Grau ambaye alikuwa Mgeni...
ChatGPT Evolves: Real-Time Web Access Transforms AI Interaction
(Change default search engine to ChatGPT search - Official.)
Introduction
Remember those times when asking ChatGPT a question resulted in outdated or irrelevant information? Those days are over. A groundbreaking update has...
Katika shindano la "stories of change" ambalo lilikuwa likilenga maboresho ya msingi yanayopaswa kufanyika ndani ya taifa ili kuipata Tanzania tuitakayo katika nyanja mbali mbali ikiwemo masuala ya sheria.
Niliezea wazi udhaifu wa sheria zetu za uchaguzi kwamba zipo kama mapambo na Haziwezi...
The National Environment Management Council (NEMC) has received the prestigious “Stories of Change” accolade in the Government Institutions category for its outstanding public communication and accountability in addressing environmental issues in 2024.
The award was presented by Jamii Forums at...
One Day To Go! Hafla ya utoaji wa Tuzo za Shindano la Stories of Change Msimu wa 4 inatarajiwa kufanyika kesho, Septemba 21, 2024
Mwaka huu Washiriki wameonesha uwezo wa juu katika kuijenga 'Tanzania Tuitakayo' wakilenga kuboresha Uchumi, Elimu, Afya, Teknolojia, Kilimo, n.k.
Mbali na zawadi...
Bado siku 4 tu kufikia Septemba 21, 2024, ambapo tuzo zitatolewa kwa Washindi wa Awamu ya 4 ya Shindano la Stories of Change (SoC).
Mwaka huu (2024), kupitia maandiko ya washiriki kwa ubunifu mkubwa yamelenga kuboresha mustakabali wa Tanzania kwa kipindi cha Miaka 5-25, kwa kuzingatia Dhima ya...
Sherehe ya Tuzo za Stories of Change 2024 inakaribia, tufuatilie ili usipitwe.
Septemba 21, 2024, Maandiko Bora yaliyoshinda katika Msimu wa 4 wa Stories of Change katika kuipendekeza Tanzania Tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25 ijayo yatatambulika.
Aidha, katika siku hii Wazalishaji Bora wa Maudhui...
Barack Obama alisema, "We are the ones we've been waiting for. We are the change that we seek." Hii ni sehemu ya hotuba yake maarufu aliyotoa mnamo 2008 wakati akizindua kampeni yake ya urais. Maneno haya yanaonyesha wito kwa wananchi kwamba mabadiliko wanayotaka hayataji kwa nguvu za nje bali...
Toka mtandaoni
UTANGULIZI
Nchini Tanzania, Swala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, wala kutumia nguvu kubwa katka kunadi sera za elimu pekee bali tunahitaji kufanya mchunganuo na uchambuzi bali nguvu ielekezwe kwenye utekekezaji wake ili kuleta matokeo chanya kila mwaka na ni nini...
Awali ya yote shukrani za kipekee ziende Kwa JamiiForums kwa jukwaa hili lenye lengo chanya katika kufikia Tanzania tuitakayo, katika kuifikia Tanzania tuitakayo nitagusia katika sekta kadhaa ambazo ni Elimu, Siasa, Uchumi na Kijamii.
Mosi, katika elimu kwanza kabisa kuwepo na mapinduzi ya...
I am well aware about the story of change in 2024 which has tailored my enthusiasm to write this story focused on cultivating our own development. This tittle seeks to leverage the idea of self-determined development in a unity progress towards our self-directed future. I appreciate this...
Tanzania ni moja ya nchi zenye fursa kubwa za maendeleo barani Afrika kutokana na rasilimali zake za asili, utajiri wa ardhi, na idadi kubwa ya watu wenye vipaji na uwezo. Hata hivyo, ili nchi hii iweze kufikia ukuaji wa kiuchumi na kijamii unaostahili, kuna mambo kadhaa muhimu yanayopaswa...
Tanzania pamekuwa na ubadhilifu wa mali za Umma Kila siku lakini hakuna uwajibishwaji wa wale wanaohusika hadi inapelekea kuwa KAWAIDA na wengine hutamani kuiba!
Hii ni Kwa sababu
1. Hakuna usimamizi nzuri wa sheria
2. Muhimili kama BUNGE hawatungi Sheria Kali ikiwa mtu atabainika kuiba fedha...
Hili ni suala dhamira ya kuelekea mustakabali wa Tanzania katika miaka 5 hadi 25 ijayo. Kwa muhtasari, maudhui muhimu yanayoweza kuzingatiwa ni:
1. Maendeleo endelevu na upatikanaji wa rasilimali:
- Kuchambua mikakati ya kutumia rasilimali za asili kwa njia endelevu na kuweka mipango ya...
Mabadiliko ni Muhimu sana. Tufanye wenyewe kama mtu na mtu au serikali kwetu au taasisisi cha umuhimu ni mabadiliko.
Tunashindana kupata stories bora ambazo zitaleta maendeleo chanya. Natamani kuona mawazo ya Wa Tanzania wenzangu ya kiuchumi na tuangalie namna gani kwa pamoja tunaweza...
Napenda kushiriki katika story of change kwa kutoa mawazo, mapendekezo na maoni yangu juu ya Tanzania tuitakayo. Yapo mengi ambayo ningependa kuyazungumzia katika mada hii lakini ushiriki wangu utaangazia zaidi juu ya suala la Uwekezaji kwa Vijana.
Nini maana ya uwekezaji kwa vijana?
Uwekezaji...
Habari Wanawake wote wa JF, Salaam ziwafikie mliko Wanaume pia hakika mnastahili pongezi kwa kuwa waibua mijadala na watoa maoni yanasaidia katika ujenzi wa Taifa letu kwa ujumla.
Leo naongoe na wanawake, jeshi kubwa, nina swali kwenu je, mmeshaanza kuandika, mmeshiriki shindano na kupost...
As teachers, parents, health professionals, and counselors who guide individuals on various important life issues, we strive to educate and advise those we love on various matters to consider for success in life and overall well-being. But in most cases people are rarely changing from bad habits...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.