chanjo ya pfizer

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. #COVID19 Takriban dozi laki moja za chanjo ya Pfizer ziko hatarini kuharibiwa-Mamlaka Afrika kusini

    Mamlaka ya afya ya Afrika Kusini ilisema Ijumaa kamba takriban dozi 100,000 za chanjo ya Pfizer ya COVID-19 ziko katika hatari ya kuharibiwa ifikapo mwishoni mwa mwezi huu kutokana na watu kutojitokeza kwa haraka kupokea chanjo. Afrika Kusini imerekodi idadi kubwa ya maambukizi na vifo vya...
  2. T

    #COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

    Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya Marekani, CDC imeshauri watu kupata chanjo za Pfizer ama Moderna kuliko J&J. CDC imefikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya kwamba hizo chanjo ni salama zaidi kuliko J&J. Sababu kubwa ya kupendekeza hivyo ni kwamba J&J inasababisha matatizo ya...
  3. #COVID19 Tanzania yapokea Dozi 499,590 za Chanjo ya Pfizer

    Serikali ya Tanzania leo imepokea dozi 499,590 za chanjo ya ugonjwa wa Uviko-19 aina ya Pfizer kutoka serikali ya Marekani ikiwa ni msaada wa mpango wa Covax. Chanjo hizo zimepokewa wakati tayari baadhi ya Watanzania wamepata chanjo ya Johnson &Johnson na Sinopharm. Chanjo hizo zimepokewa leo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…