Serikali ya Tanzania leo imepokea dozi 499,590 za chanjo ya ugonjwa wa Uviko-19 aina ya Pfizer kutoka serikali ya Marekani ikiwa ni msaada wa mpango wa Covax.
Chanjo hizo zimepokewa wakati tayari baadhi ya Watanzania wamepata chanjo ya Johnson &Johnson na Sinopharm.
Chanjo hizo zimepokewa leo...