Ukifanya tafiti utagundua tendo la ngono kidunia ufanyika sana kusini mwa jangwa la Sahara kuliko sehemu zingine za dunia.
Hata ukifanya tafiti unagundua waafrika ndio wanaongoza kwa kuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja kuliko race zingine.
Ngono ni nini ni tendo la kiroho na kimwili kwa...
Kipindi cha uchaguzi na maajabu yake, utasikia maneno na mipango ya busara kutola kwenye chama kikongwe huku wakijitenga kuwa chanzo cha uharibufu na umasikini uliopo, watatoa mawazo chanya yenye akili kama siyo wao waliokaa madarakani toka kabla ya kuanza kwa vyama vingi nchini Tanzania ila...
Watu wengi wakifanikiwa uanza kuwa motivational speaker,na wanatengeneza story ili wauze wapate pesa zaidi kwa wasio na pesa.
Unamponda kijana hana nyuma wala mbele kama vile andazi, kitumbua au chapati.
Unamwambia afanue uwinga au achinga mtaji ni mdogo tu lakini aumpi abc za wapi aende...
Kuna watu wengine wanajiita wasomi tena wa kiwango cha degrees na phD wanajitamba mtaani na huko vyuoni kwa usomi wao uchwara halafu usomi wao au kozi zao hazina faida yoyote ile zaidi ya kutujazia machawa huku mtaani yaani napatwa na hasira kweli.
Yaani mtu anasoma degree au
PhD inayohusiana...
Habari za Harakati za kiuchumi.
Napenda kuwashauri Wafanyakazi wenzangu ya kwamba mchawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe sio kipato kidogo.
Mfano unajua kabisa kijana wa ambae hana ajira akipata 10millioni akiwa mtaani anaweza kuikuza na kuwa tajiri kuliko wewe. Ila wewe unaweza kupata mkopo...
chanzochaumasikini
elimu ya fedha
kifedha
kukuza uchumi
kutumia fedha vibaya
maisha ya kujionesha
mishahara
mishahara midogo
ukosefu
umasikini
wafanyakazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.