charles kitwanga

Charles Muhangwa Kitwanga (born 27 September 1960) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Misungwi constituency since 2010. He served as a minister of internal and home affairs in the Magufuli cabinet for five months beginning in December 2015. Kitwanga was found drunk during a parliamentary session on 20 May 2016 and was immediately suspended for drinking during working hours.

View More On Wikipedia.org
  1. Charles Kitwanga: Inanichekesha kuona kivuko chetu kinapelekwa Kenya kutengenezwa

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Zamani wa Tanzania, Charles Kitwanga amesema “Tunachukua kivuko chetu, sijali kama ilinunuliwa kwa Bilioni 8 na inaendwa kutengenezwa kwa bilioni 7.5, tunashindwaje kuitengeneza sisi Watanzania hadi kupeleka Kenya. “Tuangalie nani yupo nyuma wa huo mpango, inanipa...
  2. T

    Kitwanga: Kuna kundi linalomshauri vibaya Rais Samia

    Kitwanga anasema kuna kundi ambalo limejipenyeza kwa rais na kila mahala linamshauri vibaya Rais. ========== WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema kuna kundi linalomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan ambalo limekuwa likiweka vigingi kwa watu, wakiwamo wataalamu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…