chawa ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Je Mzee Wasira amesusiwa Chama? Naona anapambana peke yake.

    Zile heka heka za Ccm za zamani hatuzioni tena. Zimekufa kibudu. Zaidi ya Chawa mmoja mmoja ambaye akifanya birthday anaweka bango la Mama kwenye Status yake ya Facebook au Whatsapp hatuoni tena watu Konki wakitoka nje kuongea na Wanachama. Hoja zote za uchumi, siasa, afya, michezo na sanaa...
  2. Carlos The Jackal

    Kwanini chawa wengi wana makando kando mengi?

    Fikiria Mwijaku, alovujisha picha za ngono akimuingilia yule dada kinyume na maumbile, Hadi Leo Dada hayuko Kwa Raman, Mwijaku akaonekana Shujaa machon pa CCM Leo ndo anaongoza kusifiaaaa . Fikiria Baba levo, huyu vituko vyake tangu akiwa Diwani Hadi Leo ,ni vingi ,naye kaamua Kumsifiaa na...
  3. Mindyou

    BASATA wameanzisha kipengele cha "Best Chawa Of The Year" kwenye tuzo. Hivi CCM mnatupeleka wapi?

    Wakuu, Yaani ni wazi kabisa kuwa serikali ya CCM ina-propagate hii idea ya Uchawa ionekane ni kitu cha kawaida. Hivi karibuni wameanzisha tuzo za wachekeshaji na ndani yake wanaweka kipengele cha BEST CHAWA OF THE YEAR. Yaani wakati mataifa mengine wana tuzo za mathematicians, astronomers...
  4. Cute Wife

    Pre GE2025 Maganya: Mtu hawezi kwenda kumshika mama mkwe sehemu za siri, na sisi hatutakubali mtu ambeze Rais Samia

    Wakuu, Hivi sisiemu mnatuaga wapi watu wajinga hivi? Unakuwa chawa basi angalau usiww chawa mzigo, wapiiiii, aibu tunaona sisi! Msikilizeni Fadhili Maganya (Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi Tanzania) akimwaga madini yake: Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea...
  5. Cute Wife

    Waziri Masauni aonya wanaodhihaki viongozi mtandaoni

    Ila CCM imejaa viongozi wengi wajinga, badala mtilie mkazo kwenye uadilifu, kukemea uchawa na wizi, rushwa na ufisadi, mnakuja kujitia aibu kwa ujinga kama huu! kwani nani hajui kukosolewa kwenu ni matusi? Kukosolewa kwenu ni uchochezi? Kukosolewa kwenu ni kuleta machafuko? Yaani kama hamtoshei...
  6. Cute Wife

    Pre GE2025 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

    Kupitia ukurasa wake wa X Mwijaku ameweka picha ikionesha Polisi wa Kenya akiwa amenyooshea mtutu raia, ambapo ameandika; "Huu ndio ujinga nisio utaka, Hakuna alie shindana na serikali akafanikiwa. So jifunze kuheshimu mamlaka . Ndugi zangu wakenya fateni njia sahihi za kuishauri serikali yenu...
Back
Top Bottom