chelewa

  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

    Hello, Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23. Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo. Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au Jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi...
  2. Rufiji dam

    Nachelewa kufika mwisho hata niendeshe vipi

    Hii hali ipo kwa kila dereva? Nina tatizo la kutofika kabisa mwisho wa safari hata nikibadilisha rubber maana mimi ni mpenzi wa kutumia raba naogopa mpigiri. Juzi moja nilipata gari moja hivi nikaendesha kwa muda wa saa 3 lakini nikashindwa kufika kbs safari ya Kibaha tu. Nikabadilisha raba...
  3. Kudo

    Chelewa, Uzikwe

    RIWAYA; CHELEWA UZIKWE! NA; BAHATI K MWAMBA SIMU; 0758573660/0624155629. DAR ES SALAAM…. Kelele za muito wa simu zilimuamsha katikati ya usiku mnene. Alijivuta kivivu huku akijaribu kushindana na uzito wa macho yake. Aliifikia simu yake na kutazama mpigaji. Haraka alinyanyuka kitandani na...
  4. comrade_kipepe

    Nachelewa sana kufika kileleni. Je, hili ni tatizo?

    Mimi ndimi comrade. Hii mbanga imekaaje waseeee? Eeebbaaanaae! Mimi sielewi hii hali inaletwa na nini, yani wakati wa mbungi napiga sana shoo lakini unaweza kuta natumia dakika 45 mpaka lisaa limoja mpaka nikojoe. Duuuh! Hili si tatizo? Mbona naskia goli la kwanza linawahi? Maana mpaka...
Back
Top Bottom