chid benz

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Manfried

    Wasanii na ndugu wa Chid Benzi mpelekeni hospitali, huo Mguu wake unaoza

    Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka. Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake. Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona. Kama ilivyo watanzania...
  2. ukwaju_wa_ kitambo

    KG feat Chidi Benz - Toka Kitambo

    Yeah...!! Aaah Aah Aah Dar es salaam stand Up Again.. Kg song Chuma. Aaah Aaah Aaah Verse.. 1. ( chid benz). Najulikana kama Ugali msingi na Secondari/ Boma primary mita chache na usawa wa Bahari/ Rashind Abdallah nyota kutoka kwa Allah /nipo hapa kama ishara Imara kazi fundi seremala...
  3. Waufukweni

    Chidi Benz: Sikumuomba Diamond arekodi chorus, amesababisha wimbo wangu kupotea

    Mmemsikia King Kong lakini? Rapa Chidi Benz anadai kuwa staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz alisababisha wimbo wake upotee baada ya kuingiza chorus bila ridhaa yake na kisha kuutelekeza studio kwa S2kizzy. Soma, Pia: Chid Benz hakuna unachomdai Diamond na hausiki kabisa na matatizo yako Chid...
  4. central midfielder

    Pancho Latino alipiga biti ya Dar Stand Up ya CHID BENZ

    Watu wanasema sana kuhusu ile biti ya Dar Stand Up ya CHID BENZ. Ambayo ilinyongwa na Marehemu Pancho Latino ni biti kali sana,Pia Rashid alikuwa kwenye prime yake. Zikitajwa biti alinyonga Latino zinatajwa nyingi lkn Dar Stand Up inatajwa zaidi,Sio kitu kibaya lakini. Lakini huyu jamaa kuna...
  5. Waufukweni

    Chidi Benz ataja sifa za Mwanamke ambaye hawezi kumuoa

    Kila mwanaume ana vigezo maalum au sifa anazozitazamia kwa mwanamke ambaye angependa kuwa naye kwenye ndoa, na mara nyingi tabia hizi zinakuwa ni msingi muhimu kabla ya kuingia kwenye mahusiano. Msanii wa muziki wa Hip Hop, Rashidi Abdallah, maarufu kama Chidi Benz, amefunguka kuhusu aina ya...
  6. ukwaju_wa_ kitambo

    Professor Jay & Chid Benz (msilie)

    PROFESOR JAY FT CHID BENZ - MSILIE. ( PRODUCER LAMAR) 41 records.. Verse .. 1. Yeah! Na muomba Mungu ili tuweze kuyakabili/ yanayojili mengi wahenga waliyatabili/ ona nyumba za ibanda leo zimengeuka biashara/ unapata neno la Mungu baadae tiba mbadala/ unafanya usichopenda Wana hubiri...
  7. Gily Gru

    Chid Benz katisha sana kwenye hii nyimbo ya Meja Kunta - Hassan Remix

    Hili goma nimecheka sana ila chid benzi katisha. Big up sana
  8. Dr am 4 real PhD

    Kisa cha Langa Kileo na Chid Benz mpaka kutoa kolabo "Ninaposimama"

    Inasemekana Langa alikuwa miongoni mwa "WACHOYO WA KOLABO" na hata ile NINAPOSIMAMA, Chid alimchana akiwa booth kwa Lamar na Dunga na kusema, sikubali, mtu gani unafanya ngoma mwenyewe tu, hii, tunafanya wote na ndipo akaja na " ONE TO ONE NA AMBII KA REFARII, RECORD HII YA 41" Ebana ee!! Hii...
  9. Vien

    Hali ya Chid Benz Inasikitisha sana

    Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa anaonekana hayuko sawa kiafya miguu imevimba, anaonekana aliumia na hajapona vizuri,miguu ameifunga...
  10. GENTAMYCINE

    Namfuatilia sana Chid Benz na hasa Interviews zake mbalimbali na nilichoguandua Jamaa ni Genius sema dunia ya Walimwengu imemuwahi tu

    Huwa nikimsikiliza sianzi Kumhukumu kwa Madhaifu yake na yaliyompata ila nakuwa makini sana kusikia kile ambacho anakitoa kutoka katika Kinywa chake na hakika huwa navutiwa mno na Madini yake ambaye unaweza hata usiyapate kutoka kwa PhD Holders, Maprofesa na Wasomi wengine nchini. Kama akitokea...
  11. Mshamba wa kusini

    Mguu wa chid benz mbona hauponi?

    Habari wakuu Hivi mbona msanii chid benz haponi kile kidonda chake cha mguuni maana tangu ameanza kuumwa kile kidonda sasa yawezafika mwezi wa nne au watano, nini tatizo? Maana Jana kapanda stejini na yeboyebo inaonyesha bado anashida mguuni.
  12. central midfielder

    Mangwair vs Chid Benz

    Ndugu zangu wa Hip hop nawaomba hapa kidogo tuwekana sawa. Wanasema kwenye pick yake The Late Albert Mangwair alikuwa mkali sana wa freestyle yani mitindo huru. Na sifa kuu alikuwa na uwezo mkubwa wa kukaa kwenye topic bila kutoka nje ya mada huku akifreestyle tu(nlimsikia juzi kati fareed...
  13. Mjanja M1

    Ni muda sasa Waandishi muache kumuhoji Chid Benz

    Kama wewe ni shabiki wa Chid Benz na umekuwa ukifuatilia mahojiano yake utagundua kuwa hayupo sawa. Chid Benz amekuwa na Interviews nyingi ambazo zimekuwa zikitumiwa kama kichekesho kwa baadhi ya watu waliokosa uungwana. Chid amekuwa anaulizwa maswali na anajibu tofauti hali unayofanya tuhisi...
  14. LIKUD

    Nasikia harufu ya Chid Benz kurudi tena kwenye chat

    God bless. Mashabiki wa Ninja tumefurahi sana kwa alicho kifanya mwamba kwenye mkwaju Nasikia harufu. Huyu ndio Chidy tulie mjua. Chidy umefunika sana kwenye hilo goma. Kwa ulicho kifanya Chidy kwenye hilo Goma kama ni mchezaji basi we Pacome. Simu ziite simu ziite. # Maurine sio mtamu...
  15. R

    Nafikiri tatizo la Chid Benz linaanzia kwa mama yake pia

    Wasalaam. Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema nimeona interview ya mama yake Chid Benz na Clouds tv kwenye kipindi cha Shajara. Huyu mama kwakweli yeye mwenyewe hajakubali kama mwanaye ana shida yaani hana Imani kabisa kwamba Chid ana shida. Hii inaweza kupelekea Chid asipate unafuu...
  16. sinza pazuri

    Chid Benz hakuna unachomdai Diamond na hausiki kabisa na matatizo yako

    Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa. Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz. Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo? Diamond aliamua...
  17. BARD AI

    Prof. Jay, AY & Chid Benz vs Fid Q, Mwana FA & Joh Makini vs Ngwair, Langa & King Zillah, Utasikiliza kundi gani hapo?

    Umepewa Playlist tatu hapa zina ngoma za 1. Prof. Jay, AY & Chid Benz 2. Fid Q, Mwana FA & Joh Makini 3. Ngwair, Langa & KingZillah, Utasikiliza kundi gani hapo?
  18. LIKUD

    Chid Benz kama Case study: Wasanii wanamichezo wanarogwa sana

    Aliwahi kusema Ndugu. Haruna Rashid Juma Kahena almaaruf kama Inspekta Haroun kwenye wimbo Ngangari kwamba " KULONDA KAZI YA MUZIKI UGANGAMALE" ambayo ni maneno ya kizaramo yanayo maanisha " KUTAKA KAZI YA MUZIKI UGANGAMALE" ( KIZARAMO : Kulonda = kutaka). Hapo Inspekta alikuwa...
  19. central midfielder

    Jay Moe vs Chid Benz

    Sina shaka na uwezo wa Chid Benz. Kwenye Greatest rappers wangu wa muda wote anachukua namba 5. Wengi wanasema Collabo yoyote akiwemo Chid Benz hawezi kufunikwa kamwe.(Hapa nakataa kidogo) 1. UKISIKIA PAAH YA JCB,FID,Q,JAY MOE NA CHID BENZ. Humu Chid Benz alifunikwa vizuri tu na Juma...
  20. LIKUD

    Chid Benz: Hii Dunia hakuna Mungu

    Ameyasema hayo akiwa anaongea na Dotto Magari. " Unajua duniani hakuna Mungu. Yale matendo mazuri unayo fanya ndio Mungu n.a. matendo mabaya ndio shetani" alisikika akisema Rashidi Abdallah Makwiro almaarufu Chid Benzi
Back
Top Bottom