chifu hangaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chifu Hangaya Mlinzi wa Utamaduni

    Siku ya kilele ya Utamaduni Ruvuma ni tukio linalokusudia kuenzi, kuhamasisha, na kulinda utajiri wa mila na desturi za mkoa huo na Tanzania kwa ujumla. Mkoa wa Ruvuma, ambao umekuwa ukijivunia kuwa na utamaduni wa kipekee wa makabila mbalimbali kama vile Wangoni, Wamatengo, na Wayao, unatumia...
  2. Rais Samia kuzungumza na Machifu wa Tanzania, 20 Julai, 2024

    Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuzungumza na Machifu wa Tanzania. 🗓️ 20 Julai, 2024. 📍 Ikulu Chamwino.
  3. Uchifu sasa unatambulika rasmi kama sehemu ya uongozi Kiserikali?

    Uongozi wa kikabila na kimila wa kichifu ulifutwa enzi za baba wa taifa mwl Nyerere. Zimepita awamu nne hatujaona marais wakijangaika na machifu na uchifu. Lakini katika sehemu ya mwisho ya awamu ta tano ambayo inaendeshwa na Rais aliyerithi baada ya aliyechaguliwa kufariki naona kumeanza...
  4. Pomoja na Chief Marialle kumpigia chapuo chifu Hangaya Wachaga hawamkubali sana, hawajamkaribisha kwa majani ya isale kama mtangulizi wake

    Mtangulizi wake alipoenda mkoani Kilimanjaro alikaribishwa kwa kutandikiwa majani ya isale hii ni kuonyesha heshima kubwa na kukubalika. Lakini Mtemi Hangaya hajapata mapokezi ya namna hii huu ni uthibitisho kuwa hakubaliki sana mkoani Kilimanjaro.
  5. Ukali wa Rais Samia kifo rasmi cha CCM Asilia na CCM Chotara, CCM Chawa nao hawatafanikiwa

    Wana JF Baada ya Mama Yetu Rais na Chief kutema nyongo kwa makundi yanayoendelea kuandaa kuvuruga mipango yake ya sasa ya kuboresha nchi na kuondoa makondokonda makubwa pamoja na vidonda vilivyoachwa na serikali tangulizi, nupende tu kusema basi kifo rasmi cha Ccm asilia wanaojinasibu kama...
  6. L

    Mwanza kiwingu cha mvua kimetanda. Rais Samia Suluhu karibu sana

    Katika kuazimisha miaka hamsini ya Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, tumeshuhudia ugeni mkubwa wa Mh. Rais Samia S. Hassani, watu wamejitokeza kwenye viunga vya Jiji la Mwanza kumpokea. Tunaomba uongeze nguvu katika hospitali yetu ya Bugando iweze kutoa huduma bora zaidi kwa wananchi wa...
  7. Kibonzo: Jamhuri ya Chifu Hangaya

  8. Magu, Mwanza: Rais Samia ashiriki Tamasha la Utamaduni, Mila na Desturi za Tanzania, atawazwa kuwa Chifu wa Machifu

    Rais Samia Suluhu Hassan leo Septemba 8, 2021 atashiriki Tamasha la Utamaduni, Mila na Desturi za Tanzania lililoandaliwa na Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) katika Viwanja vya Redcross - Magu, mkoani Mwanza. UPDATES - Katika Viwanja vya Redcross - Magu tukio linaendelea huku Machifu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…