Inasemwa kuwa siku ya Jana na Leo huko kwenye mitaa ya Lumumba mjini Dar es salaam na Kuu huko mjini Dodoma, vicheko Kwa Wana CCM vimetawala.
CCM wanawacheka wajamaa wenzao chama cha Apruebo Dignidad kinachoongoza Chile Kwa jinsi wanavyohangaika kuomba msamaha kisa eti umeme umekatika Kwa...
Nchi ya Chile imeamua kuungana na nchi za Mexico, Columbia, Brazil, Indonesia na South Africa kwenye kesi dhidi ya Israel kwenye mahakama ya kimatiafa.
Rais Chile amesema inachofanya Israel kuua watoto na wanawake haikubaliki kwa mtu yeyote mwenye akili timamu.
Chile joins developing nations...
Salaam,Shalom,
Wiki mbili zimepita sasa, iliripotiwa mlipuko mkubwa wa moto Kutoka msituni uliosambaa na kuteketeza mji mzima. Watu wengi wamefariki, nyumba za mji huo kugeuka majivu kabisa,Chanzo Cha moto huo hakijafahamika Hadi sasa,ingawa mamlaka zinasema chanzo, yaweza kuwa ni ARSON...
Rais wa zamani wa Chile, Sebastián Piñera aliyehudumu kwa mihula miwili na Mfanyabiashara Bilionea, amefariki katika ajali ya helikopta akiwa na umri wa miaka 74.
Watu wengine watatu waliokuwa ndani ya ndege hiyo walinusurika ilipoanguka katika ziwa karibu na mji wa kusini wa Lago Ranco...
Watu 112 wamepoteza maisha kutokana na moto ulioanzia katika Msitu eneo la Valparaíso ambapo mamlaka zimetangaza Hali ya Hatari huku zoezi la uokoaji likiendelea.
Inaaminika huo ni moto mkubwa kuwahi kurekodiwa Nchini hapo na waathirika wengi walikuwa wakiishi maeneo ya jirani na eneo hilo na...
Padri Georges Abed wa Chile amesema mtu akitaka kumuuliza yeye kuhusu Gaza, Hamas, mauwaji na umwagikaji damu basi asifanye hivyo kwa kumchorea picha yenye ukubwa wa inchi kadhaa. Lazima achore picha kubwa ambayo itaonesha mpaka miaka 75 iliyopita.
Chile ni moja ya nchi za Latin America ambazo...
Chile imepiga kura ili kupitisha au kukataa KatibaMpya iliyopendekezwa, ambayo Rais Gabriel Boric alisema ingeleta enzi mpya ya Kimaendeleo Nchini humo.
Kwa asilimia 99 ya kura za maoni, Kambi ya Upinzani ilipata ushindi wa asilimia 61.9 ikilinganishwa na asilimia 38.1 ya waliounga mkono Katiba...
Nchini Chile, Gabriel Boric amechaguliwa kuwa Rais mteule wa Chile.
Boric, kiongozi wa zamani wa wanafunzi anakuwa Rais mwenye Umri mdogo zaidi kuchaguliwa.
Gabriel Boric mwanasheria wa mrengo wa kushoto ameshinda uchaguzi wa marudio dhidi ya mpinzani wake wa mlengo wa Kulia Antonio Kast.
Picha: Raiswa Chile Sebastian Pinera
Baraza la senate la Chile limepinga mchakato ulioanzishwa na upinzani uliolenga kumuondoa madarakani Rais Sebastian Pinera.
Upinzani ulitaka Pinera ang’olewe madarakani kufuatia sakata lililofichuliwa kwenye nyaraka za Pandora na pia kutokana na hatua yake...
Mzuka wanajamvi!
Nilidhani ni maskini wa bongo tu wenye roho mbayaaaaaa!
Uchumi wa Chile ulikuwa unapaa kwa kasi ya ajabu. Na kuzalisha tabaka kubwa la middle class kwa serikali kuweka mazingira mazuri ya watu wa uchumi wa, kati kuchukua credit na mikopo kiurahisi.
Corona ilivyopamba moto...
Jamhuri ya Chile | Republic of Chile au República de Chile
Chile ni taifa linalopatikana bara la Amerika Kusini likiwa na mipaka baina ya Ajentina, Bolivia, Peru, milima ya Andes na bahari ya Pasifiki.
Bendera ya Jamhuri ya Chile
Taifa hili lenye ukubwa wa Kilomita za mraba 756,950 sawa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.