chipsi mayai

Chipsi mayai (Swahili for "chips and eggs"), also known as zege, is the most popular street food found all over Tanzania. The dish was invented in the streets of Dar es Salaam. In its most basic form, chipsi mayai is a simple potato-egg omelette. It is available in all regions of Tanzania, from the most remote villages to large towns. Food stands both indoors and on streets make them to order. It is the unofficial national dish of the country.
It is generally prepared with chips (French fries), oil and beaten eggs fried together in a pan. It is often served with kachumbari.

View More On Wikipedia.org
  1. matunduizi

    Nini chanzo cha wanawake na watoto wa DSM kupenda chips mayai kuliko vyakula vingine?

    Wanaume sio sana, ila kwa utafiti wangu wanawake, Wanafunzi na watoto wadogo wa kike na wa kiume wanapenda chakula hiki kuliko kitu chochote. Tena cha ajabu hata wakipikiwa nyumbani wanasema za nyumbani sio tamu. Cha ajabu zaidi hata uwatoe watu mikoani waliozoea ugali wa udaga au mtama ndani...
  2. A

    Pamoja na kushusha bei wananipita wanaenda kwingine, najiuliza nakosea wapi?

    Wakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa. Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh ngapi unamwambia bei anakigeuza geuza wee anakitathmini halafu anasema anarudi ndo imeisha hiyo...
  3. Yoda

    Kwa nini mvumbuzi wa Chipsi Mayai/ zege, chakula cha kipekee cha kitaifa cha Watanzania wote hajapewa tuzo ya kitaifa?

    Mataifa mengi huwa na vyakula vyao vya kipekee ambavyo ni kama sehemu ya utamudini wao kitaifa. Wako walio na piza, mabaga, taco, shawarma, matoke, githeri, kimchi n.k. Nafikri kwa sisi Tanzania Chipsi mayai ndio chakula cha kipekee kinachotuunganisha kiutamudini Watanzania wote kama taifa na...
Back
Top Bottom