Chipsi mayai (Swahili for "chips and eggs"), also known as zege, is the most popular street food found all over Tanzania. The dish was invented in the streets of Dar es Salaam. In its most basic form, chipsi mayai is a simple potato-egg omelette. It is available in all regions of Tanzania, from the most remote villages to large towns. Food stands both indoors and on streets make them to order. It is the unofficial national dish of the country.
It is generally prepared with chips (French fries), oil and beaten eggs fried together in a pan. It is often served with kachumbari.
Wanaume sio sana, ila kwa utafiti wangu wanawake, Wanafunzi na watoto wadogo wa kike na wa kiume wanapenda chakula hiki kuliko kitu chochote.
Tena cha ajabu hata wakipikiwa nyumbani wanasema za nyumbani sio tamu.
Cha ajabu zaidi hata uwatoe watu mikoani waliozoea ugali wa udaga au mtama ndani...
Wakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa.
Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh ngapi unamwambia bei anakigeuza geuza wee anakitathmini halafu anasema anarudi ndo imeisha hiyo...
Mataifa mengi huwa na vyakula vyao vya kipekee ambavyo ni kama sehemu ya utamudini wao kitaifa.
Wako walio na piza, mabaga, taco, shawarma, matoke, githeri, kimchi n.k. Nafikri kwa sisi Tanzania Chipsi mayai ndio chakula cha kipekee kinachotuunganisha kiutamudini Watanzania wote kama taifa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.