choroko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Nahitaji choroko tani 15 au zaidi

    Habari. Nahitaji choroko kuanzia tani 15 na kuendelea. Nitazifuata mwenyewe zilipo. Nipigie au whatsapp 0656388678, au 0789904445
  2. R

    Nahitaji tani 15 za choroko

    Habari. Nahitaji choroko kuanzia tani 15 na kuendelea. Nitazifuata mwenyewe zilipo. Nipigie au whatsapp 0656388678, au 0789904445
  3. R

    Natafuta wakulima wa choroko kanda ya kaskazini

    Habari wakuu. Nahitaji kuwasiliana na wakulima wa choroko mikoa ya kaskazini kwa mazungumzo ya kibiashara.
  4. stan john

    Nahitaji choroko 100kg nipo Dar

    Habari, Nahitaji choroko 100kg nipo dar mabibo, nanunua kwa sh 1800 Hadi sh 2000 kwa kilo
  5. malisak

    Faida za choroko na mapishi yake

    Choroko ni moja kati ya nafaka zenye kiwango kikubwa cha protini, madini ya phosphorus na calcium. Ukiachilia mbali faida nyingine, virutubisho hivi ni muhimu sana kwa ustawi wa afya ya ubongo. Wataalam mbalimbali wamenukuliwa na mtandao wa kesehatan.123.com wakielezea umuhimu wa ulaji wa...
  6. P

    Msaada wa kupata wadudu wanaobungua choroko au kunde kwa ajili ya tafiti za kilimo

    Habari zenu wana jamvi. Mimi ni mtafiti katika chuo cha kilimo. Ninaomba msaada kwa suala lifuatalo; Kwa mkulima yeyote wa zao la choroko au kunde ambazo zimebunguliwa (kutobolewa) zikiwa pamoja na wadudu maarufu kama bungua (wawe wengi kidogo) kama wanavyo onekana kwenye picha chini. Wadudu...
  7. CM 1774858

    Rais Samia azipeleka juu Mbaazi, Choroko, Dengu, Ufuta, Alizeti, Kahawa, Karafuu. Kwani wakulima wao wanasemaje?

    RAIS SAMIA AIPAISHA JUU BEI YA CHOROKO KWA 100% TOKA TZS 500|800 FY 2020|21 HADI TZS 1,610 FY2021|22 KWA KILO, Mhe Rais baada ya kufanikiwa kuongeza bei ya Mbaazi kwa zaidi ya 3200%/kg, Pamba kwa zaidi ya 125%/kg Alizeti kwa zaidi ya 120%/kg, Sasa ni zamu ya choroko ambayo nayo kwa mfumo...
  8. O

    Mkuu wa Mkoa Shinyanga ataifisha Mali ya Wafanyabiashara wa Choroko

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr Philemon Senguti anakwamisha uwekezaji wa ndani Bunge liliagiza Wakulima wa Dengu kuhuza dengu katika Soko huria ( Free Market) Nje ya Mfumo wa AMCOs lakini cha kusikitisha Mkuu wa Mkoa Senguti anawalazimisha wakulima wa dengu kuhuza dengu AMCOs kwa Tzs 900...
Back
Top Bottom