chris brown kucheza komasava

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Jason Derulo, Diamond, Chley na Khalil wauwasha moto kwenye jukwaa Afrika Kusini!

    Katika tamasha la kipekee la DSTV Delicious Festival, wasanii nyota Diamond Platnumz, Chley, na Khalil walipiga show ya kali, wakitumbuiza pamoja na Jason Derulo. Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Derulo kupanda jukwaani na kuimba kolabo yao mpya, "Komasava" remix na mashabiki kuonesha vibe kubwa.
  2. Expensive life

    Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

    Ndugu zangu mafanikio hayakufuati ukiwa umeketi nyumbani kwako, lahasha, ni lazima uyafuate tena kwa juhudi ya hali ya juu. Star wa bongo fleva Diamond Platnumz ni miongoni mwa vijana wapambanaji, miezi kadhaa nyuma kijana huyu mpambnaji alifunga safari kwenda nchini Marekani, huku lengo kuu...
  3. sinza pazuri

    Diamond na Chris Brown waisimaisha dunia na Komasava

    Story kubwa duniani leo ni Msanii namba moja duniani na msanii namba moja Africa. Chris Brown na Diamond Platinumz. Chris Brown ameonesha kupagawa na wimbo namba moja kwa sasa Africa uitwao Komasava ulioimbwa na Diamond Platinumz kutoka tandale. Chris Brown amecheza wimbo huo huku akionesha...
Back
Top Bottom