Ukimfuatilia Mtaka utagundua ni aina ya wale watu wanaotafuta UMAARUFU kwa kutoa maneno yanayowafurahisha watu na kutafuta mifano mingi na kuizungumza kwenye jamii/ mikutano.
Na mwisho wanajizolea umaarufu kuwa ni viongozi mahiri sana. Ukija kwenye matokeo ya nafasi za uongozi unakuta hakuna...
Akizungumza East Africa Radio asubuhi hii kwa Mahaba niue yake yote kwa Mumewe anayemuita Mwanasaikolojia wake Mke wa Mwanasaikoloja Maarufu nchini Dk, Chris Mauki aitwae Miriam Mauki amesema kuwa Mumewe huyo anajua kila Kitu isipokuwa Kupika tu ndiyo hajui.
Tafadhalini elewa hapo neno...
JamiiForums ilipata wasaa wa kuongea na Dr. Chris Mauki, Mtaalamu wa Saikolojia, Ndoa na Mahusiano, Malezi na Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam juu ya suala hili la Kataa Ndoa, mjadala ambao umekuwa mkali sana hasa kwa vijana wa zama hizi.
Kusoma sehemu ya kwanza ya mahojiano haya...
Kwahiyo Yeye Mkewe hachepuki, yeye hachepuki na kwamba yeye ni Mtakatifu sana katika Mahusiano na Saikolojia?
Tafadhali mwenye Picha ya Mke wa Dkt. Chris Mauki tafadhali aiweke hapa ili labda wenye Changamoto zetu za Kimahusiano tuitumie Kuwaonyesha Wapenzi / Wake zetu ili Wakiiona tu nao...
JamiiForums imepata wasaa wa kuongea na Dr. Chris Mauki, Mtaalamu wa Saikolojia, Ndoa na Mahusiano, Malezi na Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam juu ya suala hili la Kataa Ndoa, mjadala ambao umekuwa mkali sana hasa kwa vijana wa zama hizi, twende kazi....
SWALI: Ndoa ni nini? Je...
Ndani ya nafsi ya Kila mwanaume zimewekwa taarifa kuhusu mwanamke anae tamanisha, hamasisha na kuvutia kufanya nae sex.
Kuna mwanamke ukimuangalia tu unajua yupo vizuri kitandani.
Mtazame Aunty Ezekiel
Jack Pemba alifaidi Sana.
# Her eyes, the way she talk, the way she look, her rudeness...
Habari, tumaini langu mko powa, leo ningependa kushare na nyie watu wanne Kama ujawafollow basi nakushauli uwafollow na Kama umewafollow basi utaungana na me hiki nisemacho.
1). @Joelnanauka, ebana eeh huyu mtu mtu nakushauri mfollow ana mambo mengi sana ya kujifunza kwake kwenye huu ulimwengu...
Habari,
Nauliza naweza peleka malalamiko yangu sehemu ipi. Ni hivi chuo akitaki kuweka motokeo yangu nacte toka mwaka jana nimekosa kuendelea na chuo kikuu na mwaka huu awajaweka kila siku wananizungusha tu nisaidie maana nimechoka maneno yao.
Nisaidieni
Kumekuwa na majadala mkubwa kuhusu kauli ya Dr. Chrisiona Mauki kwamba wanaume wasioacha kitu nyumbani na kila siku wanatoka asubuhi na kurudi jioni ni wasanii. Kauli hii imeibua mjadala mkubwa kwenye jamii na wengine wameanza kumjadili Ndugu Chrisiona badala ya kujadili hoja yake.
Wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.