Akijibu hoja ya ukomo bungeni, Christian Bwaya ameandika:
"Wabunge wengi wana mipango ya muda mrefu kaka. Tuwaelewe.Miaka mitano ya mwanzo —kulipa madeni makubwa ya uchaguzi. Miaka mitano ya pili —kufanya uwekezaji mkubwa ili kuwa na nguvu ya kichumi.
Kuingia rasmi kwenye tabaka tukufu.Miaka...