Siku moja nilikuwa napita Kariakoo sokoni.
Pale alikuwepo muuza magazeti kapanga magazeti pale, wengine wananunua, wengine wanasimama tu pale kutazama.
Ilikuwepo headline pale kwenye gazeti moja Imeandikwa, "MTIKILA ASEMA BABA WA TAIFA ANASTAHILI KUUAWA"
Siku zile watu walikuwa patient na...