chuki ndani ya jamii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Maisha na Chuki

    Wazima jamani! Hivi hili suala la kuchukiana bila sababu ni kwa wanawake tu ama na Nyie wanaume mnakutana nalo? Unaenda sehemu ukiwasili tu kama wewe ndo jini mkata kamba! Ni kwamba chuki za ghafla zinaanza, ukijitathmini hakuna cha tofauti Umefanya. Kwenye vitabu vya dini vimeandikwa kuwa...
  2. Chizi Maarifa

    Watu wenye akili hatupendwi, jamii inatuchukia na kututenga sana

    We angalia tu around you. Watu wenye akili wanatengwa na jamii. Inawaona wanajisikia au wajeuri au wana majidai. Sababu kwa asilimia 90 jamii ina wendawazimu wengi kuliko wenye akili. Mi najiona kabisa kila nikitoa hoja watu wanapinga sababu hawaelewi. Ila wachache wenye akili ndo wanaelewa...
Back
Top Bottom