Wahenga wanasema,"hakuna mtu aliye mkamilifu"
Biblia inasema,'usihangaike na kibanzi kwenye jicho la mwenzio ilhali wewe una boriti kwenye jicho lako na huenda hujijui'
Qur'an inasema,"hakuna kulazimishana katika dini na mtu ambaye mnatofautiana Imani"
Imani zipo nyingi,Imani zipo nyingi...