CHUMBA MASTER MPYAA 💥💥 PIA KUNA CHUMBA MASTER NA SEBULE MPYA . LOCATION : TABATA KIMANGA. DSM
(A) Chumba Master ya Kibachela Mpyaa -- Kodi 100,000 miezi 6
(B) Chumba Master na Sebule -- Kodi 150,000 miezi 6
Zipo Ndani ya Geti Tabata Kimanga dakika 12 kutembea hadi stendi kuu...
Habari JF,
Natafuta chumba chakupangisha maeneo ya Mbezi Beach (Mbuyuni, Africana, Makonde, Shule, Kogoo, Tank Bovu, Massana) au isipite Goba Kayuni ukienda na njia ya Goba
Chumba kiwe ni kikubwa na Master.
Mwenye nyumba aisiwe kwenye nyumba moja.
Wapangaji wasiwe wengi (8+).
Kuwe na uzio/fensi...
Kigamboni magogoni, pc
Chumba kimoja 1 master na jiko ndani
Maji bure
Kodi 180,000 kodi ya mwezi
Miezi (6)
Mita 15 barabara kubwa
Vyumba vyote ni vipya.
Piga 0712347749
CHUMBA MASTER PAMOJA NA SEBULE VINAPANGISHWA
*Inapatikana Mbezi Mwisho, mtaa wa Muhimbili karibu na stendi mpya ya mabasi ya mikoani.
*Nyumba ina tiles, gypsum, maji yanapatikana
*Gari inafika mpaka mlangoni
*Kodi kwa mwezi ni Tshs. 120,000
Tuwasiliane: 0659-358-599
Nyumba haina dalali fika...