chumba

Chumba is a traditional form of music and dance performed by the Garifuna people in several Central American countries. Like punta (another type of Garifuna music), chumba songs are highly polyrhythmic, but have a slower tempo.The chumba dance is a solo dance performed by a woman, often exhibiting a large degree of individual style.

View More On Wikipedia.org
  1. Somo letu: Wajua kwanini namba 13 ni namba ya mkosi? Je, umezaliwa tarehe 13?

    Mara Nyingine number 13 watu huichukulia kama namba ya mkosi , Lakini tunajiuliza sana kwanini watu huchukulia namba 13 kama namba ya mkosi, yanayosemwa yana maana kubwa sana ndio maana leo hii katika 1.Hotel kubwa za kimataifa ukiangalia vyumba vyote kwa namba ukifika namba 12 wanairuka namba...
  2. F

    Chumba cha mabati

    Hizi nyumba za mabati sio nzuri ukitafuta usingizi unaskia panua niingize alafu unaskia masauti ya kutamanisha ukuta wa mabati unatingika. Wewe vile hijafanya mapenzi mda mrefu unapeleka maskio ndio uskie vizuri unasahau unalalia mabati unajipata kwa nyumba ingine kwa sababu mabati iliwekwa bila...
  3. House4Rent Natafuta chumba cha kupanga (double) maeneo ya Paloti, Arusha mjini

    Hello! Habari wandugu kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza. Bajeti yangu 60,000 to 70,000. Asante.
  4. Kwanini usipokuwa umeoa au kuolewa inakuwa ngumu kupata chumba cha kupanga?

    Kwanini usipooa/olewa ni ngumu kupata chumba cha kupanga? Lakini sio chumba tu; hata nyumba, ajira, na heshima?
  5. House4Rent Chumba na sebule inapangishwa

    Chumba kimoja cha kulala pamoja na sebule. Eneo: Mbezi Beach Bei Tshs 100,000/Mwezi Maji ya dawasa yapo masaa 24, Usalama Upo wa kutosha, Ipo umbali wa dakika 2 kutembea kwa mguu. Tuwasiliana: 0686648630
  6. House4Rent Chumba kimoja kinapangishwa Mbezi Beach

    Chumba kimoja, Choo cha nje. ------------------------ Maji ya dawasa, Umeme Luku yakuchangia, Uzio na usalama Upo. ------------------------ Bei Tshs 50,000 Kwa Mwezi Kodi ya Miezi 6 ------------------------ Wasiliana nasi: 0686648630 || 0716442950
  7. House4Rent Chumba na sebule kinapangishwa Mbezi Beach

    Chumba na sebule, Choo cha nje. Maji ya dawasa, Umeme Luku wawili, Maegesho ya gari ipo, Uzio na usalama Upo. Bei Tshs 100,000 Kwa Mwezi Kodi ya Miezi 6 Wasiliana nasi: 0686648630 | 0716442950
  8. Chumba master pamoja na sebule vinapangishwa

    CHUMBA MASTER PAMOJA NA SEBULE VINAPANGISHWA *Inapatikana Mbezi Mwisho, mtaa wa Muhimbili karibu na stendi mpya ya mabasi ya mikoani. *Nyumba ina tiles, gypsum, maji yanapatikana *Gari inafika mpaka mlangoni *Kodi kwa mwezi ni Tshs. 120,000 Tuwasiliane: 0659-358-599 Nyumba haina dalali fika...
  9. Natafuta chumba cha kupanga cha 50,000/= nina kodi ya miezi 6

    Ndugu wa Tegeta Ndugu wa Mbezi Beach Ngugu zetu wa goba mupoo Chumba cha 50,000/= 6 months nalipa Wapangaji wasizidi wa 3 Mwenye nyumba asiwepo mazingira gari iwe inafika hapo Gypsum Tiles muhimu Ikiwa master ni vizuri zaidii... Msaada jamani
  10. Kuna ubaya chumba cha watoto wa kike kuwa karibu na watoto wa kiume katika ujenzi?

    Ramani niliyonayo nimeipenda ila hii sehemu ya vyumba vya female na male ndio bado naomba ushauri kama hakuna shida au niongee na mchoraji abadilishe.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…