Nimesafiri Huko chunya mkoani Mbeya kibiashara mara kadhaa kibiashara, kuna mgodi mmoja unakusanya dhahabu balaa lakini hauna impact yoyote kwenye hii nchi. Naomba kuuliza, sio kwa kuusemea ila kiukweli, hivi hawa watu kweli bado wanafanya pembuzi yakinifu au tunapata gawio kiasi gani kila...