chuo cha dit

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TheForgotten Genious

    KERO Feni na AC katika Majengo mengi ya Chuo cha DIT - Dar ikiwemo Maabara hazifanyi kazi

    Madarasa mengi na Maabara za Chuo cha DIT yana changamoto ambazo zinafanya tunashindwa kusoma tukiwa na utulivu, nazo ni; AC na feni nyingi hazifanyi kazi. Mfano mimi ninasoma ETE, Jengo la mawasiliano kuna Maabara 4, zote hakuna AC wala feni tunapoingia kunakuwa na suffocation sana na joto...
  2. T

    KERO Chuo cha DIT hakijatuma taarifa zetu HESLB, Wanafunzi hatujapata ‘boom’ wiki ya 5 sasa, hali ni ngumu

    Chuo Habari zenu wakuu, Sisi Wanafunzi tunaoendelea na mwaka wa masomo ukitoa wale wa Mwaka wa Kwanza ambao ni wapya hapa Chuo cha DIT (Dar es Salaam Institute of Technology) tuna changamoto ya Chuo kutotuma taarifa zetu kwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Tulifungua Chuo...
  3. B

    Serikali imepokea taarifa ya mwisho ya upembuzi yakinifu wa ujenzi wa chuo mahiri cha TEHAMA - DTI, Dodoma

    Serikali imepokea taarifa ya mwisho ya upembuzi yakinifu wa ujenzi Chuo Mahiri cha TEHAMA (Digital Technology Institute - DTI) katika eneo la NALA, Dodoma kutoka kwa Mshauri elekezi kutoka Muungano wa Chuo Kikuu cha Hanyang kinachojumuisha Chuo Kikuu cha Hanyang, Kampuni za Uhandisi na Usanifu...
  4. N

    DOKEZO Wahitimu wa Diploma Chuo cha DIT hatujapata AVN Namba, tunashindwa kuomba Mkopo, tunaomba Bodi iongeze muda wa maombi

    Sisi Wahitimu wa ngazi ya Diploma katika Chuo cha DIT tuna changamoto ya kutopatiwa Award Verification Number (AVN) mpaka sasa hali ambayo inatufanya tushindwe kufanya maombi ya mkopo wa Chuo kutoka HESLB na wengine wanaotaka kuomba katika vyuo vingine bila kujali kama wanaomba mkopo au la...
  5. I

    Dkt. Pesha: Tunatarajia kurusha Setelaiti yetu angani 2025, sasa tumefikia hatua ya matengenezo

    Tanzania kupitia Taasisi ya Teknolojia Dar es salaam- (DIT) ikishirikiana na wadau mbalimbali wapo katika mchakato wa maandalizi ya kutengeneza na kurusha Setelaiti angani. Akizungumzia mchakato huo Julai 25, 2024 wakati akihojiwa na Kituo cha habari cha Channel Ten, Mkurugenzi wa Taaluma...
Back
Top Bottom