chuo cha kilimo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Morogoro: Polisi yachunguza tukio la Mwanafunzi wa SUA kukutwa amejinyonga katika makazi ya Wanachuo

    TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linachunguza tukio la kifo cha Yosia Johani Keya (25) mwanachuo mwaka wa tatu katika chuo Cha kilimo cha Sokoine (SUA). Tukio hilo limefahamika tarehe 9.3.2025 asubuhi huko katika eneo la makazi ya wanachuo hao kampasi ya Mazimbu, kata ya...
  2. Kagera: Chuo cha Kilimo cha Igabiro chasema Vyeti vya Wahitimu vimetoka na vinapatikana chuo

    Baada ya Mwananchi ambaye ni Member wa JamiiForums.com aliyejitambulisha kuwa Mhitimu wa Igabiro Training Institute of Agriculture Wilayani Muleba kueleza kuwa Wahitimu wa awamu mbili chuoni takribani miaka miwili hawajapata vyeti licha ya kukamilisha taratibu zote, hatimaye vyeti vimetolewa...
  3. Chuo cha Kilimo cha Igabiro (Kagera) chakiri Wahitimu hawajapata vyeti kwa miaka miwili, chasema ni suala linalohusu mamlaka za Serikali

    Mkuu wa Chuo cha Igabiro Training Institute of Agriculture, Sadoki Stephano ameelezea madai ya kuwa kuna changamoto ya Wanafunzi waliohitimu chuoni hapo kutopata vyeti huu ukielekea kuwa mwaka wa pili. Amesema kilichotokea ni suala la kimfumo ndani ya Mamlaka ya Serikali na linashughulikiwa...
  4. K

    KERO Huu ni Mwaka wa pili sasa hatujapata vyeti vya kuhitimu Chuo cha Kilimo cha Igabiro (Kagera), kila tukienda wanatuzungusha

    Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Kagera Wilayani Muleba ni muhitimu wa Diploma in Animal Health and Production katika Chuo cha Igabiro Training Institute of Agriculture kilichopo Muleba. Tangu tulipohitimu, huu unaenda Mwaka wa pili sasa, tulihitimu Februari 2023 lakini mpaka leo hatujapata vyeti...
  5. R

    Ukisoma agriculture general unakua nani?

    Je ukisoma agriculture general unakua nani? N unafanya kazi wap? Na nikazi zipi?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…