Pamoja na demand ndogo ya taifa letu kupokea wanafunzi wa nchi za nje lakini katika hao, sehemu kubwa wananyooka moja kwa moja Udsm, Ni kwamba hawaoni vyuo vingine ?
Byuo vingine ni nadra sana na ukiwakuta labda ni wa Burundi, Msumbiji, n.k.
Nikianza kushusha hapa Alumni waliomaliza UDSM list...