chuo kikuu cha dar es salaam

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO NHIF wanasitisha vifurushi vya wanachuo kabla ya muda na kupelekea wakose huduma

    Habarini wanajamvi natumaini mpo salama. Kuna hii ishu ya NHIF kuwahi kukatisha muda wa subscription ya BIMA za wanafunzi wa chuo cha UDSM ambapo BIMA zilitakiwa ziishe mwezi wa 11 badala yake zimekatishwa na kumalizia Oktoba 8. Hii imeleta changamoto kwa watumiaji wa Bima hizi kwani wengi...
  2. M

    Seneti ya UDSM mliliangalia jambo hili wakati wa kupitisha sheria mpya?

    Nimeona andiko moja linalohusu Senate Meeting Held on 6th May 2024. Hili linazungumzia Ada kwa wanafunzi wanaochelewa kumaliza masomo yao kwa wakati. Ada imepanda badala ya 50,000/month za mwanzo hadi malipo ya semester 1 kwa mwanafunzi. Andiko hilo limesainiwa na Boneventure Rutinwa. JE, HIZI...
  3. A

    Vyuo vingine Tanzania havina wasomi na Maprofesa?

    Hivi hapa Tanzania, vyuo vingine havinaga wasomi na maprofesa , maana kila teuzi ni wasomi na maprofesa kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam. Nyie vyuo vingine serikali wasomi wenu vipi?
  4. JackisonDubai

    Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimeshindwa kuzimalizia Hosteli za Magufuli?

    Hayati Rais Magufuli aliwajengea UDSM hosteli za kulala wanachuo nzuri na za kisasa kabisa, cha kushangaza nimerudi baada ya miaka miwili hostel bado hazijafanyiwa finishing kwenye flat zake za juu. Juu ya hizo hosteli Kuna mirunda na magogo Kwa kweli inashangaza. Ikumbukwe kabla ya hostel za...
  5. Ajuasadi

    Open letter: The date of UDSM with Mfinanga must go

    Dear Minister of Foreign Affairs, First and foremost, i would like to congratulate the President of United Republic of Tanzania Mama Samia for appointing you to be the Minister of Foreign Affairs. Most Elites rejoiced together with you because your appointment signals her respect to diplomacy...
  6. Ajuasadi

    Rais Samia on SabayaKakokoism UDSM

    Her Excellence, kindly be notified that there is no single Tanzanian University in the list of top 3,000 Universities in the World. UDSM used to be the best in Africa but now it is falling down at a light speed due to a wide spread of Sabayakokoism (Sabayaism + Kakokoism). Kindly suspend or...
  7. Matope

    Ubovu wa barabara kipande cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kama unaenda Changanyikeni

    Wajameni kwa kweli nimeona nilete hii hoja hapa angalau inaweza fanyiwa kazi. Kutoka geti la Chuo Kikuu Dar es Salaam kama unaenda Msewe kwenda geti la kutokea kama unaenda Changanyikeni katikati au jirani na School of Education. Kuna mashimo mawili ni kama choo. Gari zinapita upande mmoja tu...
Back
Top Bottom