Mtumishi wa Mungu Clear Malissa ametangaza kufanya maombi makubwa katika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, yatakayohudhuriwa na waumini wa dini zote nchini.
Maombi hayo yanalenga kuiombea amani Tanzania, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea chaguzi, ambazo mara nyingi huambatana na...