clemence

Clemence, or Clémence, is a name. It may refer to:

Louise Michel (1830-1905), a French anarchist who used Clémence as a pseudonym

View More On Wikipedia.org
  1. Eli Cohen

    Joshua na Clemence hii ni kwa ajili yenu. Sasa mlale kwa amani zaidi

    Waliokuwa nyuma dhidi ya mauaji yenu wameanza kusambaratika. Wameanza kuonja mateso kama yale mliopitia. Wapumbavu hawa👇 sasa hawapo na vibaraka wao pia wanaendeleo kudondoka. Kufa kupo, lakin clemence na josh hamkustahili kuondoka katika mikono ya magaidi ambao wananuka damu za watu wasio na...
  2. Mto Songwe

    Watanzania Joshua na Clemence walitekwa na Hamas au waliuawa na Hamas Oktoba 7?

    Maswali yetu na tafakuri yetu yaweza kuwa msaada kupata mwanga kuhusu vifo vya ndugu zetu wawili hawa wa Kitanzania. Tuanze na taarifa ya mwanzo ya mkasa huu wa hawa ndugu zetu hii hapa⤵️ Israel yawatambua Watanzania wanaoshikiliwa mateka na Hamas 30 Oktoba 2023 Na Yusuf Jumah BBC Swahili...
  3. M

    Nimeamua kwenda Israel kujiunga na IDF kulipiza vifo vya Joshua na Clemence

    Mzuka wanajamvi. Niko serious najiamini na sitanii. Nayasema haya nikiwa timamu kabisa. Nimelia sana baada ya kuona video ya Joshua akiuwawa kikatili na Wapalestina. Nimepata ujasiri wa kipekee na nimeshaanza kufuatilia process za kuingia Israel. Nitajiunga na IDF nakuomba niwekwe mstari wa...
  4. Eli Cohen

    Yaani Joshua na Clemence wamefariki ila ni kama hakuna kilichotokea. Are we Hamas sympathisers?

    Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas Hatimae hamas wamefanya kile wanachoweza vizuri, unyama na ukatili. Madogo wamekufa, assets za taifa katika kilimo zimepotea ila maisha yanaendelea ni kama hakuna kilichotokea. Vinavyotrend ni misso missondo, walioenda dubai, mademu wa...
  5. biabia

    Update: Marehemu Clemence Mtenga aliuawa Oct 7 na hakuwa kati ya mateka waliopelekwa Gaza. Taarifa zaidi zinaendelea hapa chino

    Kumradhi kwa taarifa ya mwanzo niliyoleta kwenye uzi uliopita. Clemence alikuwa mmoja kati ya watu waliouawa kwenye uvamizi katika kibbutz Nahal Oz October 7 mwaka huu. Inavyoonekana ni kwamba watu wengi ambao ni raia wa Israel au raia wa nje bad hawajulikani walipo. Mfano mwanadada Shani...
  6. JanguKamaJangu

    Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

    Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa masikitiko na huzuni imetangaza kifo cha Clemence Felix Mtenga, Kijana Mtanzania ambaye ni miongoni mwa Watanzania wawili ambao pamoja na raia wa Mataifa mengine walikuwa hawajulikani walipo tangu...
Back
Top Bottom