Waliokuwa nyuma dhidi ya mauaji yenu wameanza kusambaratika. Wameanza kuonja mateso kama yale mliopitia.
Wapumbavu hawa👇 sasa hawapo na vibaraka wao pia wanaendeleo kudondoka.
Kufa kupo, lakin clemence na josh hamkustahili kuondoka katika mikono ya magaidi ambao wananuka damu za watu wasio na...
Maswali yetu na tafakuri yetu yaweza kuwa msaada kupata mwanga kuhusu vifo vya ndugu zetu wawili hawa wa Kitanzania.
Tuanze na taarifa ya mwanzo ya mkasa huu wa hawa ndugu zetu hii hapa⤵️
Israel yawatambua Watanzania wanaoshikiliwa mateka na Hamas
30 Oktoba 2023
Na Yusuf Jumah
BBC Swahili...
Mzuka wanajamvi.
Niko serious najiamini na sitanii. Nayasema haya nikiwa timamu kabisa.
Nimelia sana baada ya kuona video ya Joshua akiuwawa kikatili na Wapalestina.
Nimepata ujasiri wa kipekee na nimeshaanza kufuatilia process za kuingia Israel.
Nitajiunga na IDF nakuomba niwekwe mstari wa...
Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas
Hatimae hamas wamefanya kile wanachoweza vizuri, unyama na ukatili. Madogo wamekufa, assets za taifa katika kilimo zimepotea ila maisha yanaendelea ni kama hakuna kilichotokea.
Vinavyotrend ni misso missondo, walioenda dubai, mademu wa...
Kumradhi kwa taarifa ya mwanzo niliyoleta kwenye uzi uliopita. Clemence alikuwa mmoja kati ya watu waliouawa kwenye uvamizi katika kibbutz Nahal Oz October 7 mwaka huu. Inavyoonekana ni kwamba watu wengi ambao ni raia wa Israel au raia wa nje bad hawajulikani walipo.
Mfano mwanadada Shani...
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa masikitiko na huzuni imetangaza kifo cha Clemence Felix Mtenga, Kijana Mtanzania ambaye ni miongoni mwa Watanzania wawili ambao pamoja na raia wa Mataifa mengine walikuwa hawajulikani walipo tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.