Leo Nandy ana jambo lake, atakuwa Clouds FM akisindikizwa na baadhi ya wasanii.
Jukwaa limetengenezwa eneo la kuegesha magari, pamependeza sana.
Jambo lenyewe linatarajiwa kuanza mishale ya saa 4 mpaka alasiri huko.
Watakao pata nafasi wafike zilipo ofisi za Clouds FM Mikocheni, hakuna...