McCloud is an American police drama television series created by Herman Miller, that aired on NBC from September 16, 1970, to April 17, 1977. The series starred Dennis Weaver, and for six of its seven years as part of the NBC Mystery Movie rotating wheel series that was produced for the network by Universal Television. The show was centered on Deputy Marshal Sam McCloud of the small western town of Taos, New Mexico, who was on loan to the metropolitan New York City Police Department (NYPD) as a special investigator.
Nimeangalia Mahojiano ya Tundu Lissu na kipindi cha Clouds 360,
Niseme tu! Mtangazaji Kija Yunus ni Muandishi wa Habari wa hovyo Kwelikweli, Kwa Akili Zake Ndogo Hizi Sijui Aliwezaje Kupata Kazi Clouds Media Tena Akaaminiwa Na Kupewa Kipindi Cha Asubuhi.
Yaonekana alikuja na...
Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha...
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe alipokuwa akizungumza na clouds amesema
"Hapa Dar es Salaam kila Mtaa unaouona una uongozi wa CHADEMA wa Baraza la Chama, la viongozi wa chama.
Na katika Vijijini zaidi ya 12,000 zaidi ya 80% tuna viongozi katika vijiji nchi nzima na hatimaye sasa Vitongoji...
Kwa ufupi:
Kauli na hoja za Paul Makonda na majibu yake:
HOJA #1: Tundu Lissu ni mchanga kwake (Makonda) kisiasa. Kauli hii ina ukweli wowote?
JIBU: ➡Ni mwongo, mzushi. Tundu Lissu yumo ndani ya siasa (active politics) tangu mwaka 1995 na mwaka huo aligombea ubunge Jimbo la Singida Mashariki...
Ni sawa kuwa na mtazamo tofauti lakini huyu dada wa kipindi cha nyuzi 360 huwa anapenda sana kutetea viongozi hasa pale wanapokua wametoa matamshi tatanishi.
Hata kama ni uchawa huu sasa utakua pro max kwa dada.
Nadhani kipindi hiki hakimfai ni bora atafutiwe kipindi cha udaku au singeli.
Pia...
Nasikitika sana sijui wanakosea wapi, hawapo kama wenzao wa Clouds Radio! Sijui wanafeli wapi?
Au ni bahati mbaya kwangu kila nikiingia kuiangalia nakuta vipindi visivyoeleweka.
Kama usiku wa Jana manyimbo TU yasiyoeleweka.
Nilikuwa nakifuatilia sana kipindi cha leo cha Sam Sasali na Tupa Tupa muda huu Clouds TV kipindi cha 360 lakini wamekatisha matangazo ghafla, shida ni nini?
JR. FARHAN WA CLOUDS TV HUNA UELEWA WOWOTE KATIKA MAHUSIANO YA MAPENZI; HUWEZI KUMHUDUMIA MWANAMKE ULIYEZAA NAYE BAADA YA KUACHANA NAYE UKABAKI SALAMA.
Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Sijui ulikuwa unatafuta sifa au kiki au vipi. Kama ni Kiki basi upo sahihi na hongera. Lakini kama ni kweli...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara, Mwekezaji wa Kimataifa, Bilionea Joseph Mbilinyi, asubuhi ya 23/11 /23, atakuwepo kwenye Clouds TV kwa mahojiano Maalum.
Usibadili Channel kwa Mawe Matakatifu.
Nipo hapa natazama the spark ya Clouds Tv kinachorushwa kila siku za wiki saa 11 jioni hadi 12.
Namwona Miss Lolo ambaye ni Mtangazaji wa kipindi amevaa blausi ya kijani mpauko kimeabdikwa "Your boyfriend Loves me".
Maana yake Rafiki yako wa kiume ananipenda. Watangazaji wa Tv huwa...
Clouds Media Group wamiliki wa Clouds TV, wameanza kupunguza wafanyakazi kwa namna ya kidhalikishaji na ukiukaji mkubwa wa haki ya Usiri na faragha.
Tumeona watangazaji kadhaa wakianikwa mitandaoni kwamba mikataba yao imeisha na wameachwa.
Tunaomba uongozi wa Clouds Media kuacha mara moja...
Kinachoendelea Clouds TV kutoka Leaders club ni aibu tupu. Pastor Mzimbabwe anayeishi London anawaburuza kama kawaida yao. Nawakunbusha kidogo utapeli wake wa zamani hapa.
Kama alivyo prophet Alfa Lukaku, mzaire , nani ya Johannesburg. Alifanya muujiza wa kumfufua mtu. Aliyejifanya kafa...
Habari wakuu,
Nimeshangaa sana kuona hii studio/chumba cha habari wanachotumia Clouds Tv katika kipindi cha Sports bar mpaka nikajiuliza kwa nini wameamua kufanya hivyo? Je, wamekosa resource? Ubahili? Au ukata?
Kwakweli chumba cha habari ni kama wapo ndani ya 'contena' au kabatini, Yaani...
Clouds TV jana iliita muuza madawa ya kulevya anaeitwa Jack Cliff kuja kujitetea jinsi alivyokamatwa na madawa ya kulevya.
Taarifa za uhakika zinaonyesha kua mamlaka nchini China/Macau zilimkamata Jack akiwa na madawa ya kuelvya aina ya Heroine kilo 1.1 mwilini mwake na kupelekea kufungwa...
Jamani ni mimi au na wenzangu mmeona hiki!
Mimi ni mdau mkubwa sana wa chaneli ya Clouds kwa muda mrefu sana, lakini naona siku na miaka inavyoenda ubora(si wa vipindi pekee) na hata muonekano wa baadhi ya vipindi vyao umedorora! Issue ni budget, kukosa creativity au ndo dalili za kukata tamaa...
Maxence Melo amesisitiza suala la JamiiForums kutaka kujitanua na kuzifikia nchi nane za Afrika ili kuwapa watu wa nchi hizo huduma ambayo watanzania wamekuwa wakiipata pia kukuza Kiswahili.
Suala la umuhimu wa faragha ni suala alilozungumza kwa undani akitaja mfano wa watu kuandika majina...
Kama kawaida tunaanzia tulipoishia wakati uke kawaida Nape hua habakizi kiporo; naomba sasa aanzishe uchunguzi wa majambazi waliovamia clouds media na silaha za kivita haraka. Maana ile ingesababisha mauaji ya waandishi wa habari ingekuaje?
Katika sakata lile sisi wananchi wala hatukuridhika...
Sote tunakumbuka ya Clouds na report ya CAG kuhusu malipo zaidi ya milioni 600, kwa kisingizio cha kutangaza utalii wa ndani.
Leo, kati kati ya huduma mbovu za miundo mbinu ya bara bara, shule, na mahitaji lukuki ya hospitali za umma, kwenye mkoa wa Dar es salaam, mkuu wa mkoa yupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.