The FIBA Africa Basketball League (formerly named the FIBA Africa Clubs Champions Cup) was the highest caliber men's professional basketball competition for clubs until 2020, organized by the FIBA Africa and played by the champions of the leagues of the African countries. The league was replaced by the Basketball Africa League (BAL) from 2020.
Unajua Al Hilal siyo kwamba walikuwa bora zaidi ya Yanga hapana, Yanga walikuwa bora zaidi ya Al Hilal ila walichoshida Al Hilal kwa Yanga ni nini?
Ni mbinu za kocha wao tu bila hivyo Al Hilal wangelilala nyumbani kwao pale pale. Yaani watu walikuwa wamejaa nyuma mpaka unakosa sehemu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.