cnn

The Cable News Network (CNN) is a multinational news-based pay television channel headquartered in Atlanta, United States. It is owned by CNN Worldwide, a unit of the WarnerMedia News & Sports division of AT&T's WarnerMedia. It was founded in 1980 by American media proprietor Ted Turner and Reese Schonfeld as a 24-hour cable news channel. Upon its launch in 1980, CNN was the first television channel to provide 24-hour news coverage, and was the first all-news television channel in the United States.As of September 2018, CNN has 90.1 million television households as subscribers (97.7% of households with cable) in the United States. According to Nielsen, in June 2021 CNN ranked third in viewership among cable news networks, behind Fox News and MSNBC, averaging 580,000 viewers throughout the day, down 49% from a year earlier, amid sharp declines in viewers across all cable news networks. CNN ranks 14th among all basic cable networks.The network is known for its dramatic live coverage of breaking news, some of which has drawn criticism as overly sensationalistic, and for its efforts to be nonpartisan, which have led to accusations of false balance.Globally, CNN programming has aired through CNN International, seen by viewers in over 212 countries and territories; since May 2019 however, the US domestic version has absorbed international news coverage in order to streamline programming expenses. The American version, sometimes referred to as CNN (US), is also available in Canada, some islands of the Caribbean and in Japan, where it was first broadcast on CNNj in 2003, with simultaneous translation in Japanese.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Ushauri: BBC, CNN, VOA au Aljazeera, mumuhoji Erick Kabendera juu ya madai yake kuwa Magufuli alimpiga risasi Ben Saanane

    Huu ndio ushauri wangu kwani naamini kupitia mahojiano ya aina hiyo, Kabendera ataweza kufunguka zaidi na maelezo yake yatasaidia watu kupata picha halisi juu ya tuhuma hizi. Sitegemei ataweka hadharani kila kitu kwasababu inaweza kusababisha ushahidi ukaharibika /kuharibiwa hasa ikiwa...
  2. CNN Video: Bashar Al Asad aliyekuwa Rais wa Syria ni kielelezo cha watawala walivyo na tamaa na mafisadi. Angalia utajiri wa magari aliyojilimbikizia

    Hapa duniani jamani tunapita tu.... Mtu aliye kiongozi katika nafasi ya u - Rais au nyingine yoyote serikalini unawezaje kuwa na mali zote hizi wakati muda wako mwingi, akili na mawazo ni kuwatumikia wananchi..? Umezipata wapi mali hizi kama si kuiba na kufisadi nchi huku watu unaowaongoza 85%...
  3. X

    Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

    Mwanamke anayedai kuwa alinyanyaswa kingono na Sean "Diddy" Combs amerekebisha kesi yake na kujumuisha madai kuwa pia alibakwa na Jay-Z kwenye moja ya party. Kesi hiyo hapo awali iliwasilishwa dhidi ya Combs mnamo Oktoba, lakini Jumapili 8th December, mwanamke huyo aliongeza Shawn Carter...
  4. E

    Rais Assad aripotiwa kuikimbia Syria, Majeshi ya Waasi yatangaza kuuchukua mji mkuu wa Damascus

    Mapigano ndani ya Damascus kwa sasa!!! Rebel forces have declared Syria "free", saying the "tyrant" President Bashar al-Assad has left. It is the end of a dark era and the beginning of a new one, HTS says on Telegram. People who were displaced or were imprisoned by the Assad regime's...
  5. CNN imeripoti kwamba wanajeshi wa Israeli wanaorejea kutoka Gaza "wanakumbwa na kujiua"

    Wanaukumbi. CNN imeripoti kwamba wanajeshi wa Israeli wanaorejea kutoka Gaza "wanakumbwa na kujiua." Kuongezeka kwa viwango vya kujitoa mhanga miongoni mwa wanajeshi hao kunaonyesha hali mbaya ya kisaikolojia inayowapata wale waliohusika katika mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza. Wachinjaji...
  6. Melania Trump ataka Tshs Milioni 675 ili kufanya mahojiano na CNN. CNN yajibu mapigo!

    Shirika la habari la Marekani, CNN, limeripoti kuwa wakati waandishi wake wakiwa wanajaribu kupata mahojiano na mke wa rais wa zamani wa Marekani, Melania Trump, team ya Melania Trump ambao wanahusika na uchapishaji wa kitabu chake kipya ilijibu ilitaka kiasi cha dola 250,000, zaidi ya shilingi...
  7. Mnatizama lakini CNN Mahojiano ya moja kwa moja ya Mgombea Urais wa Marekani Trump na Waandishi wa Habari Weusi huko Chicago?

    Mkiambiwa Waafrika tuungane tulijenge Bara letu, kwani Wazungu huwa hawatupendi hatusikii na tunawapenda tu.
  8. VIDEO: CNN imetoa ripoti ya kushtua kuhusu kuteswa kwa wafungwa wa Kipalestina

    Wanakumbi. CNN imetoa ripoti ya kushtua kuhusu kuteswa kwa wafungwa wa Kipalestina katika kambi ya Sde Teiman katika jangwa la Naqab, ambapo Israel inatekeleza uhalifu mkubwa dhidi ya wafungwa wa Kipalestina waliotekwa nyara kutoka Gaza. Wafuasi wa Israel walikuwa wanasema Al Jazeera...
  9. T

    CNN Report: UAE yapewa ardhi Afrika kufanya uwekezaji chechefu, watachuma mabilioni ya dola kutunza misitu ya nchi tano ikiwemo Tanzania

    Chanzo Kuelekea mkutano wa mazingira wa dunia, COP28, utakaofanyika mwezi December 2023 huko Dubai, CNN imetoa ripoti maalum inayoilaumu UAE kwa kuendesha miradi chechefu ya kimazingira ikiwemo kukwapua ardhi ya Afrika ikijifanya kutunza mazingira wakati nia halisi ni kujikingia kifua wakati...
  10. Mo Dewji Aipaisha Tanzania Kimataifa on CNN "Unfortunately We Don't Have The Right Framework & Policies to Deal With Large Investment in Agricalture!"

    Wanabodi, Mo Dewji if not yet, then probably is going to be the richest man in Tanzania!. Has 150 products, he is going to knock down Coca Cola and Pepsi Cola!, ametupaisha kimataifa, ila pia ametubagaza kuwa "we have got tons of arable land that can feed Africa, but he is surprised why are...
  11. S

    Tanzania yatajwa na CNN kama sehemu bora ya kutembelewa kwa mwaka 2023

    Kwa mujibu wa mtandao wa cnn , tanzania ni moja ya sehemu bora na imewashauri watalii kuitembelea. Na ni nchi mbili tu kwa Afrika zilizotajwa nyengine ni Rwanda japokua Rwanda haikutajwa kama nchi ili kuna hoteli, sextarion Rwanda, ndio imepigiwa chapuo. Ila Tanzania imetajwa kama nchi na...
  12. Mtaalam wa ndege CNN: Watu 26 kati ya 43 kuokolewa ni nzuri sana kwa ajali ya ndege

    Mary Schiavo ameshika nafasi mbalimbali Marekani ikiwemo mkurugenzi mkuu wa idara ya usafirishaji Marekani na kwasasa ni mchambuzi wa usafiri wa anga kwenye kituo cha CNN. Kuhusu ndege iliyopata ajali, Mary kasema ndege za ATR ziliacha kutumika nchini Marekani kwa sababu ya ajali za mara kwa...
  13. CNN: 73% ya Wamarekani wanataka Biden asigombee 2024, hawaelewi nchi inakoelekea chini ya Biden

    Takwimu za kila siku zinaonyesha kua idadi kubwa ya Wamarekani hawamuelewi Biden na hawaelewi nchi inakoekea. Ndani ya mwaka mmoja umaarufu wa Biden umekua ukishuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kutokana na kwamba wamarekani hawaelewi Biden anachokifanya Ikulu. Nashindwa kuelewa huyu mzee...
  14. Natamani kujua historia ya CNN na Aljazeera

    Habari ndugu wanajukwaa wezangu. Poleni na hongereni kwa kazi Samahan Sana wanaJf nimekua inspired Sana na hivi vyombo vya habari na kutaka Kujua historia zake Asanten sana naomba kupewa japo kwa sehemu tu Asante ndugu zangu
  15. Zelensky: Kufeli kwa mazungumzo kutamaanisha 'Vita vya Tatu vya Dunia'

    Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa anaamini kushindwa kufanikisha mazungumzo ya kumaliza uvamizi wa Urusi kutamaanisha "vita vya tatu vya dunia". Akizungumza na CNN Jumapili, Zelensky alisema yuko tayari kuzungumza moja kwa moja na Rais wa Urusi Vladimir Putin, akiongeza kuwa...
  16. Sheria mpya yapelekea CNN, BBC na Bloomberg kusitisha kuripoti Urusi

    Baada ya Bunge kupitisha Sheria inayoruhusu Mamlaka kuwafunga hadi miaka 15 watu walioshtakiwa kwa kusambaza makusudi taarifa feki, Mashirika mbalimbali yametangaza kusitisha kuripoti Urusi. BBC, CNN, Bloomberg, Shirika la Habari la Canada (CBC) pamoja na Redio Canada zimesema zitaacha kurusha...
  17. N

    Rais wa CNN Jeff Zucker alifukuzwa kazi na sasa Vice President wa CNN naye afukuzwa

    Jeff zucker amefukuzwa kazi Kwa sababu ya Low ratings (CNN average viewers per day laki 4, MSNBC milion 1 na Fox News million 5 ) na coverage ya Russia hoax. CNN ATT imenunuliwa na Discovery (Discovery owner ni Trump supporter) hopefully CNN itarudi kuwa news organization. =========...
  18. CNN yamfukuza kazi mtangazaji kwa kumsaidia kaka yake mwanasiasa

    Mtangazaji wa Marekani Chris Cuomo amefukuzwa kazi na CNN baada ya kumsaidia kaka yake, gavana wa zamani wa New York Andrew Cuomo, alipokuwa akipambana na madai ya unyanyasaji. Uamuzi huo ulikuja baada ya CNN kusema kuwa habari za ziada zimeibuka juu ya kiwango cha ushiriki wa Chris Cuomo...
  19. Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

    Wanabodi, Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa". Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…