cocacola

  1. Dede 01

    Ifahamu kampuni ya Cocacola na background yake

    Habari wakuu! Mtaani kuna story nyingi kuhusu kampuni ya coca cola kuna wengine wanasema imeanzishwa sijui na watu wawili wanaoitwa Coca na Cola ila hizo sio story za kweli. Kutokana na uchunguzi nilioufanya huu ndio ukweli kuhusu kampuni ya Coca Cola. Historia ya kampuni hii inatupeleka...
  2. Teknolojia ni Yetu sote

    Vijembe vya kibiashara kati ya Coca Cola na Pepsi

    𝗨𝗴𝗼𝗺𝘃𝗶 𝘄𝗮 𝗰𝗼𝗰𝗮 𝗰𝗼𝗹𝗮 𝗻𝗮 𝗣𝗲𝗽𝘀𝗶 Moja kati ya tangazo la kitambo liliundwa ili kumdhihaki Coca-cola toka kwa Kampuni ya Pepsi, ni hii tangazo la unywaji wa soda ya pepsi. Shida ilianza pale Coca cola 🥤 alipotangaza hadharani ameuza na kupata faida mara 4 zaidi ya kampuni ya Pepsi mwaka 2001, Pepsi...
  3. Awiaman ooza

    Ronaldo hakuwa mjinga kusogeza pembeni chupa 2 za cocacola

    Wakuu za sahizi, Nadhani mnakumbuka lile tukio lililofanyika 2021, la mchezaji cr7 alivyokuwa akihojiwa na akasogeza chupa 2 za coca akasema tutumie maji Basi asee juzi kati hapa nimepitia baadhi ya threads humu nikakuta watu wanasema bidhaa za mo extra ya kuwa zina athiri maini Na jinsi...
  4. maishapopote

    Sitakaa nilisahau tangazo la CocaCola la mwaka 1995

    Cocacola walitoa tangazo lao mwezi wa December 1995, likiitwa CocaCola Caravan, nilikuwa nimemaliza darasa la saba. Aisee nilivyoliona nilichanganyikiwa, lina uubunifu wa kuanzisha hisia zako hata kama huipendi Christmass. Tokea mwaka huo CocaCola walilirusha tena mwaka 1998 na nafkiri 1999 ila...
  5. L

    Bidhaa zimepanda bei, sasa Soda ni Tsh 600/=

    Soda Tsh 600 badala ya 500 Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500 Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/= Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/= Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na...
  6. Jamii Opportunities

    Stores Assistant at Cocacola

    Stores Assistant Details Reference Number CCB220110-3 Job Title Stores Assistant Job Category Manufacturing Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type Permanent Location - Country Tanzania Location - Province Not Applicable Location - Town / City Dar Es Salaam Job Description Coca-Cola...
  7. joa Treder

    Natafuta/naomba ajira

    Naitwa Fausta nina umri wa miaka 21 naishi Dar nina elimu ya chuo nimesomea secretary nina uzoefu wa mwaka na miezi 6. Natafuta kazi pia usafi maofisini naweza nisaidieni waungwana
  8. S

    Soda za Coca Cola zimeadimika mtaani pia maziwa fresh ya packet

    Hizo bidhaa hazipatikani ama kama zipo ni kwa uchache sana. Kunani? Sambamba na hilo, vitu vimepanda saaaana bei , wachumi mnasemaje?
  9. Jamii Opportunities

    Area Sales Manager at Coca-Cola Kwanza Limited

    Reference Number CCB210709-3 Job Title AREA SALES MANAGER Function Marketing & Sales Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type Permanent Location – Country Tanzania Location – Province Not Applicable Location – Town / City Dar es Salaam Job Description Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting...
  10. kali linux

    Ukweli kuhusu Cristiano Ronaldo kushusha thamani ya Cocacola kwa kutoa chupa zake

    Hello bosses, kuna baadhi ya media hasa za Spain na mashabiki wa Ronaldo wanakuza sana effect ya hili jambo la Ronaldo kuweka pembeni chupa za coca cola na kuchagua maji wakidai kitendo hicho kilifanya hisa za Coca cola kushuka. Nimeona sio mbaya kuchambua hili jambo kwa sababu ni uongo mtupu...
  11. A

    Hivi Cocacola Kwanza na Bonite Bottlers wameingia ubia, au Cocacola Kwanza ni moja ya kampuni ya IPP?

    Kwasababu leo nimeona magari ya Bonite yanasambaza juisi za minute maid, zilizotengenezwa kiwanda cha Cocacola kwanza kilichopo Dar, INA maana Cocacola Kwanza wanashindwa hata kununua magari madogo ya kusafirishia juisi zao huku moshi mjini? Nahisi hizi kampuni mbili (Bonite na Cocacola Kwanza)...
Back
Top Bottom