Rais wa Colombia, Gustavo Petro, amesema biashara ya kokeini inaweza kudhibitiwa kwa urahisi ikiwa dawa hiyo itahalalishwa duniani kote, kwakuwa dawa hiyo si mbaya zaidi kuliko whisky.
Katika mkutano wa mawaziri uliorushwa moja kwa moja, Petro amesema Kokeini ni haramu kwa sababu inatengenezwa...
Pichani ni Eric Mandala Kizenga, raia wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Fally Ipupa alitunga wimbo maarufu kumsifia mkewe, Maria Piron Mandala (PM). Wimbo huu ulizua gumzo sana, na kuonyesha namna alivyokuwa akimpenda mkewe.
Hata hivyo, kuanzia juzi, habari kuhusu Eric Mandala zimekuwa...
Ni swali critical linalohusu kuichimba akili ya muhalifu (criminal mind investigation) anaelima madawa kwa mrengo wa kiuchumi na hatari / risks za biashara haramu wanazofanya.
Kilimo cha madawa ya kulevya ni haramu kwa sheria za Tanzania, ukilima bangi kuna mvua ya miaka 20+, ukilima cocaine...
Marcus Jordan Mtoto wa Legend wa mpira wa kikapu duniani na gwiji wa NBA Michael Jordan, ameingia kwenye skendo kubwa na ya aibu baada ya kupigwa picha akiwa anatumia madawa ya kulevywa aina ya Cocaine,
-
Picha hizi zimepigwa na mapaparazi wa Ufaransa ambao kwao ni msimu mkubwa wa mapato...
TANI 1..8 ZS MADAWA YA KOKEINE ZIMEKAMATWA KISIWA CHA ST MARTIN KILICHO CHIN YA UFARANSA
MELI HIÒ ILIKAMATWA MDA MFUPI BAADA YA KUHISIWA KUNA MZIGO WA COCAINE
HATA HIVYO WAHUSIKA WOTE WALIKIMBIA<HAPO NDIPO NAPOCHOKA JAMANI>
WE FWATILIA YALE MAGARI YA WASOMALI YANAYOKAMATWA YOTEE UTASIKIA...
A man accused of being Diddy's 'drug mule' was arrested trying to board at the same time the rapper's mansion was raided by police.
Brendan Paul, 25, was arrested by Miami-Dade Police, alongside Homeland Security agents, at Opa-Locka Airport in Miami about 4.30pm on Monday.
Federal agents...
During the 1980s, Nicaragua, one of the country located in central America , experienced a significant conflict known as the Nicaraguan Revolution.
The Samoza dictatorship which dominated Nicaragua from 1936 to 1979 was toppled by an insurrection led by the Sandinista , a socialist...
Habari zenu wakuu!!?
Binafsi Mimi kama Mimi hii michezo ya kubahatisha sijawahi jaribu tangu mtoto! Zamani kipindi Niko nyokaa chuga huku nilikuwaga napewa tu shilingi 50 nikachenchi,nikiwaletea makachala chenchi wananipa Lile li shilingi Tano kubwa nanua ngubiti
Wao wanaendelea na kamari...
Katika hali isiyo ya kawaida Mahakama nchini humo imewaachia huru washukiwa hao kutoka Liberia, Ureno, Lebanon, na Guinea-Bissau baada ya kukamatwa na kontena lenye zaidi ya kilo 500 za Cocaine, zenye thamani ya takriban Tsh. Bilioni 236.4
Waziri wa Sheria nchini humo, Frank Musah Dean Jr...
Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Mtoto wa Mfalme Charles na hayati Princes Diana, Prince Harry anakiri katika kitabu chake kipya kuwa aliwahi kutumia dawa za kulevya aina ya Cocaine akiwa na umri wa miaka 17, lakini anasema "haikuwa ya kufurahisha sana".
Matukio hayo yanaonekana kuja baada ya babake, Mfalme Charles III...
Here you get Kiswahili version to start with followed by English version
KISWAHILI VERSION
TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TET) INAFANYA BIASHARA YA ELIMU NA VITABU KWA MTINDO WA DAWA YA KULEVYA. BIASHARA YA VITABU (TEXTBOOKS) NDIYO KAZI YAO KWA KISHERIA YA TAASISI HII?
Kwanza kabisa TET...
Nimeishia kutoa macho tu, zinateketezwaje?
Imekuwa sio kazi ya Polisi tena kuteketeza ila kampuni binafsi?
Hata ulinzi hakuna pale.
Hamna namna ingine ya kuteketeza wanapeleka kule kule tena buchani mbuzi afie hapo.
Nimetoka kuangalia makala hapa inayohusu mambo ya cocaine na ninmegundua ya kwamba aina hii ya madawa ni bei mno.
Hapa nazungumzia cocaine yale madawa yanayovutwa kwa pua (kusniff)
Madawa haya bila uwezo wa kutoa laki kila siku huwezi kuyapata
Nimeona watuamiaji wa bangi na mateja wanaotumia...
Waziri wa Nchi - Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amesema katika kipindi cha mwaka 2019 hadi 2020 jumla ya Dawa za Viwandani Kilo 426.363, pia bangi na mirungi Tani 26.34 zilikamatwa.
Amesema Serikali imebaini mitandao ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.