colony

  1. Lycaon pictus

    Tanzania haikuwa colony bali protectorate chini ya muingereza. Nini tofauti ya colony na protectorate?

    Baada ya vita ya kwanza ya dunia, league of nations wakaiweka Tanzania kuwa protectorate chini ya muingereza. Sasa kuwa namna hii na kuwa koloni kama zilivyokuwa Kenya na Uganda kuna tofauti gani? Nini faida tulizopata na hasara tulizopata ukilinganisha na makoloni kama Uganda na Kenya?
  2. winnerian

    China is slowly turning Africa into its Colony and our blind-deaf-brainless leaders are helping the process

    Straight to the point and short clear: China is lending a helping hand to African dictators which is in the financial support to pay the price for their longer stay in power without having any clue to where they are taking their nations. Like how a dog is lured by a python and gets constricted...
  3. Emery Paper

    Jifunze Kinyakyusa hapa

    Habari za wakati huu wadau! Natambua uwepo wa watu wenye asili ya kabila maarufu pale mkoani mbeya yaani Wanyakyusa. Kutokana na mihangaiko ya maisha wengi wetu tumejikuta tumekosa fursa ya kuishi mkoa wa mbeya au katika mazingira ambayo pengine yametufanya kushindwa kuweza kuizungumza lugha...
Back
Top Bottom