Mfahamu Mzee Small.
Said Wangamba (Mzee Small) alizaliwa 1955 mkoani Lindi. Na baadae alihamia Dar mwaka 1970 ambapo alipata umaarufu kupitia uchekeshaji na uigizaji.
Alipewa jina la utani la Mzee Small kutokana na mwili wake kuwa mdogo. Alipata umaarufu kupitia baadhi ya kazi zake kama vile...
Said Ngamba "Mzee Small"
Taarifa tulzozipata hivi punde kuwa muigizaji Said Ngamba au Mzee Small Amefariki dunia baada ya kuugua muda mrefu.
Mzee Small alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Kiharusi kwa kipindi kirefu.
Chanzo cha taarifa hizi ni Mtoto wake wa kiume Mahmudu (Mongamba) ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.