A Request for Comments (RFC) is a publication from the Internet Society (ISOC) and its associated bodies, most prominently the Internet Engineering Task Force (IETF), the principal technical development and standards-setting bodies for the Internet.
An RFC is authored by individuals or groups of engineers and computer scientists in the form of a memorandum describing methods, behaviors, research, or innovations applicable to the working of the Internet and Internet-connected systems. It is submitted either for peer review or to convey new concepts, information, or occasional engineering humor. The IETF adopts some of the proposals published as RFCs as Internet Standards. However, many RFCs are informational or experimental in nature and are not standards. The RFC system was invented by Steve Crocker in 1969 to help record unofficial notes on the development of ARPANET. RFCs have since become official documents of Internet specifications, communications protocols, procedures, and events. According to Crocker, the documents "shape the Internet's inner workings and have played a significant role in its success," but are not well known outside the community.Requests for Comments are produced in non-reflowable text format, but work has begun to change the format so that documents can be viewed optimally in devices with varying display sizes.Outside of the Internet community, other documents also called requests for comments have been published in U.S. Federal government work, such as the National Highway Traffic Safety Administration.
Kauli ya WHO Kuhusu Taarifa ya Marekani Kujitoa katika shirika hilo
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesikitishwa dhidi ya tangazo la Marekani kwamba inapanga kujitoa katika Shirika hilo.
WHO ina jukumu muhimu la kulinda afya na usalama wa watu duniani, wakiwemo Wamarekani, kwa kushughulikia...
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.
Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya...
Watu wakiwa kwenye madaraka, wanajisahau kabisa kuwa nao ni binadamu tu kama wengine na yote yanayowapata binadamu wengine (magonjwa, vifo, n.k), na wao yanaweza kuwapata wakati wowote wakiwa madarakani na hata baada ya kuondoka madarakani.
Ni bahati mbaya sana, huyu Mama anaongea utadhani yeye...
Ni siku tatu zilizopita nimelalamikia nida Kawe na uhuni nilioona.
1. Siku naenda kujiandikisha nilifika saa nne nkaitwa saa tisa kupigwa picha.
Unaweza hisi ni makusudi ama wewe pekeyako lakini lundo la watu mnaitwa saa tisa wengine walikata tamaa wakaondoka.
2. Nililalamika ushenzi...
Imekuwa too much sasa, video unaicheki youtube unaanza kusoma comments za mrejesho, ushauri, ukosoaji, nyongeza, n.k.
Ila unakutana na comments za kuomba likes.
Wanakera sana hawa watu
Uki comment cha maana utapewa like bila kuomba,
Ongezea pia comments za watoto, ndugu wa upande wa wake na masulia pamoja na majirani.
Jamaa angeupiga mwingi sana. Mtandao X wangempa blue ticks mpaka wakome.
Halafu anatokea mtu katika zama hizi anawadanganya watu waoe mke mmoja!
Aaah! Mfalme Sulemani wewe! Yaani jamaa angeishi zama hizi...
Hizi ni baadhi ya Comments za wana Jf nilizochukua Mapema kwenye baadhi ya Nyuzi kabla ya Derby,Ndugu Mpenzi wa Jukwaa leta nyingine kama unayo.
Au nisaidie kuwa-Tag waje wajitetee hapa tena.😂😂
Ni aibu timu kubwa kama Simba kuruhusu account zenye maadili mabovu ya picha za utupu na ngono katika comments. Simba ni timu inayoheshimiwa ndani na nje ya Nchi. Kuna watu wenye hadhi zao ni washabiki wa simba kama viongozi wa serikali, viongozi wa dini, wanafunzi wa chuo, shule nk. Inakuwaje...
Oya washkaji uzi gani una comments/replies nyingi?
Kwenye pitapita zangu, nimeona ule Uzi wa Manchester United una replies kama 190k hv na wa arsenal una 140k approx.
Uzi wa "Mikeka"(betting) una replies 372k
Kuna uzi una replies nyingi kuzidi huu?
Utume humu kweny reply yako kama unadhani...
Habari Waheshimiwa!
Najua kuna watu hamjawahi kuitwa Waheshimiwa, ngoja niwatoe lock na ninyi muonjeonje kidogo majina ya heshima. Mimi mara ya kwanza kuitwa Mheshimiwa ni siku nimeenda kutoa posa huko madongo kuinama, niliazima VX ya kijivu, nikaiweka bendera ya Tanzania upande wa mbele, kisha...
Huyu Mwamba anatisha sana huko Instagram anafikisha likes Milions na Comments nyingi, kuliko kina Diamond na wala haringi, wala Watanzania hawamjui kivile.
Big up sana Mwamba kwa ubunifu uliotukuka.
Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumeshuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwenuu kuna vikwazo...
Ni wimbo gani unahisi unafunga mwaka 2022 vizuri..
Majukwaa yote
Matusi au kejeri au dhihaka haziruhusiwi
twendeeeeeee ENTERTAINMENT
mshindi ni comment ya mwisho au itakayokuwa na maombi mengi zaidi yatayotakayopatikana au itakayogota saa 00.00(saa 6 kamili usiku) tar 01 /01/2023
zawadi...
Ni matumaini yangu nyote mu bukheri wa afya, namshukuru mwenyezi Mungu mimi ni mzima na naendelea na mapambano kama kawaida. Mimi ni mwanaume kijana mwenye passion ya kusafiri na kuishi USA especially kiutafutaji japo ninandoto za kuinvest hapa nyumbani TZ.
Nimeamua kuliweka hili humu jf...
Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
african leaders
afrika
baada
basi
biden
comments
daladala
kupanda
kwao
london
lumumba
mabasi
magufuli
marais
mataifa
mheshimiwa
mitandaoni
moja
msiba
ndugu
ndugu zangu
nyerere
pamoja
rais
rais biden
rais samia
samia
serikali
suala
ufafanuzi
uhakika
uingereza
viongozi
wawakilishi
wazungu
Ni vile tu tumezungukwa na majinga sana nchi hii ila simba kwa sasa ishajiweka kwenye level fulani kubwa sana soma mwenyewe comments za wana orlando pirates wakitamani wasipangwe na simba kwenye draw ya kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.