Vodacom tunawaomba mfanye marekebisho kwenye upande wa m-pesa hasa commission tunazopata sisi mawakala n ndogo sana ukilinganisha na mitandao mengine.
Mfano:
1. Mpesa mteja akitoa shs200,000/= wakala anapata commission ya shs 645
2. Halopesa mteja akitoa 200,000/= wakala anapata shs 1390
3. Pia...