common

IBM Power Systems is a family of server computers from IBM that are based on its Power processors. It was created in 2008 as a merger of the System p and System i product lines.

View More On Wikipedia.org
  1. C

    Ni wakati wa kuwa na House of Common iliyo juu ya Bunge ili kusimamia Taasisi ya Rais

    Nimekula chumvi nyingi hivyo najua mihemko ya Taasisi ya Rais, imekuwa ni utaratibu wa tawala zetu hapa nchini kuja na mihemko na kutoa ahadi nyingi ili kuongeza mapambo katika sanaa za siasa. Nakuja na mapendekezo yafuatayo ili kuepuka majoto: 1. Ni wakati sasa ianzishwe taasisi ya House of...
  2. Understanding the Gap Between Knowledge and Success

    Understanding the Gap Between Knowledge and Success It's a common frustration to see others succeed while feeling stuck despite having more knowledge. The key takeaway is that success is not solely determined by what you know, but rather by how you apply that knowledge. This realization can be...
  3. J

    Comparative Analysis of Common Laws in Tanzania and Nigeria

    Tanzania and Nigeria, two prominent countries in Africa, share numerous similarities in their legal frameworks due to their colonial histories and subsequent legal evolutions. Both countries have developed robust legal systems that aim to promote justice, protect human rights, and ensure the...
  4. Sio kila siku unakula vyakula common

    Inabidi week yako moja uamue tu hakuna kula ugali wala wali ni mwendo wa ndizi, choroko, soya, pweza, papai, tango, Viazi, maziwa, maji, karanga.
  5. Call for Proposals for small initiatives at Search for Common Ground

    Programs – Africa – Central & East / Temporary – Local / On-site Background Search for Common Ground’s (Search) mission is to transform the way individuals, organizations, and governments deal with conflict, away from adversarial approaches and towards collaborative solutions. Search is...
  6. Common Back Office Manager, Regular Consultant Level II at WFP

    WFP celebrates and embraces diversity. It is committed to the principle of equal employment opportunity for all its employees and encourages qualified candidates to apply irrespective of race, colour, national origin, ethnic or social background, genetic information, gender, gender identity...
  7. Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

    Nina kijana wa miaka 17. Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah. Shuleni ni average sana...
  8. Napendekeza kwa mazingira mengine Polisi wafanye kazi kwa kuzingatia muktadha tukio kuliko kufuata protokali

    Linapotokea tukio mtu kauwawa mara nyingi tunaita polisi wachukue mwili, lakini pia inapotokea mtu kajiua tunawaita polisi. Kuna ile mtu kajiua kwa sumu au kujinyonga ndani kwake, nitolee mfano tukio lililotokea mtaani. Polisi walijulishwa kuwa kuna mtu kanywa sumu, wakafika eneo la tukio na...
  9. Common Back Office Manager at WFP March, 2024

    Position: Common Back Office Manager at WFP March, 2024 KEY ACCOUNTABILITIES (not all-inclusive) A. Coordination of the governance arrangements: Establish and consolidate the CBO in Tanzania as an integrated center of services meeting with efficiency operational needs of its clients, based on...
  10. J

    Boris Johnson: Wakati mwingine Kwenye majanga kama ya Covid-19 ni Heri kutumia common sense

    Ni Heri kutumia common sense kama yule Rais fulani wa Africa aliyesimama Imara na kuiponya Jamii yake Johnson alikuwa akijibu Swali la Jaji huko UK Sijajua huyo Rais wa Africa anayempongeza ni nani! Maandalizi Mema ya Sabato 😀 --- Boris Johnson says more "common sense" should be used at...
  11. Picha: Wazungu washindwa kuchomoa ndege iliyotua majini. Sisi tulivuta kwa kamba maisha yakaendelea

    Dege la kivita limetua majini nchini Marekani toka Novemba 20, wiki mbili sasa. Ni baada ya rubani kupitiliza runway ya uwanja kama Precision ya Bukoba Sasa wanasema wanahitaji mamilioni ya dollar kuichomoa, na ukisoma hiyo article bado wanajadili njia muafaka ni ipi Sisi tulivuta kwa kamba...
  12. M

    Kwa kuangalia tu na kutumia common sense, pale Middle East Israel siyo kwao

    Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu. Jambo...
  13. R

    Tuongee science kidogo: Why is the principle of simple common sense not accepted in mathematics?

    Tupumzishe siasa kidogo kwa ku refresh mind with intellect thinking. Angali common sense kwanini haikubaliki always kwenye maths and other fields of science. Common sense itakwambia kuwa kila inapoongezeka dot moja, maumbo yanakuwa mara dufu! Lakini inapotokea dot sita, common sense inakuwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…