Nimepata nafasi ya kuchaguliwa na vyuo viwili hapa Tanzania chuo cha kwanza nimepangiwa kusomea civil engineering na chuo cha pili nimepangiwa kozi ya computer engineeringi.
Wana JF nipeni ushauri kati ya kozi hizo mbili ipi ni marketable?
Aaah wakuu naomba kusaidiwa katika hili kama Kuna mtu mwenye uelewa juu ya content yenye faida. Nimesoma prospectus zote lakin nimefeli kuelewa ipi ipo Nondo na ipi ipo unga 🙂
Ndomana nime kuja kuomba msaada Kwa wanaojua kuhusu hili...
"Always say less than nessesary"
Mhandisi wa kompyuta huchanganya uhandisi wa umeme na sayansi ya kompyuta ili kutegeneza teknolojia mpya. Wao hupanga, kujenga, na kuratibu vifaa vya kompyuta katika kompyuta za kisasa.
Wahandisi hawa wanazingatia kuunganisha vifaa(hardware) na programu(software) katika mfumo mmoja...
Lenovo XIIM 2-in-1 laptop slim and nice
Affordable 2-in-1 Tablet 10 windows tablet with detachable keyboard and hi-res display 11 Size
••Processor : Intel Atom X5 ••Generation: 6th
••RAM 4GB (DDR4)
••Storage: SSD 64GB. GB Extra
••Touch screen ✔️
Let your fingers do the talking
••Long...
Kiukweli napenda sana kusoma Computer Engineering kutoka moyoni ila sikuweza kusoma sayansi o-level pia sikuweza kupata ufaulu mzuri nilipohitimu kidato cha nne.
Nimepata D - 5 zote za Sanaa. Swali langu naweza nikasoma Computer Engineering baada ya kuhitimu IT ngazi ya cheti.
Kwa wale wanafanya shughuli za electronics design, Engineering ama Hobbyists hii ni natoa offer ya electronics boards na Sensors
1. Aduino Mega (genuine) for 25K unaokoa 20K from 45k
2. Arduino Uno (without chip) 15K unaokoa 20K from 35K
3. Arduino Camera 20K unaokoa 20K from 45K
4. Current...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.