Wadau habarini za uchana huu wanajamii.
Natumaini mu wazima wa afya.
Niende kwenye mada moja kwa moja,nipo hapa kuuliza na kuomba Ushauri nawezaje kufocus na kuzingatia (concentrate) kwenye jambo nalofanya kwa wakati husika.
Nimekuwa na changamoto ya kushindwa kufocus na kunconcentrate kwenye...