condom

A condom is a sheath-shaped barrier device used during sexual intercourse to reduce the probability of pregnancy or a sexually transmitted infection (STI). There are both male and female condoms. With proper use—and use at every act of intercourse—women whose partners use male condoms experience a 2% per-year pregnancy rate. With typical use the rate of pregnancy is 18% per-year. Their use greatly decreases the risk of gonorrhea, chlamydia, trichomoniasis, hepatitis B, and HIV/AIDS. To a lesser extent, they also protect against genital herpes, human papillomavirus (HPV), and syphilis.The male condom is rolled onto an erect penis before intercourse and works by forming a physical barrier which blocks semen from entering the body of a sexual partner. Male condoms are typically made from latex and, less commonly, from polyurethane, polyisoprene, or lamb intestine. Male condoms have the advantages of ease of use, easy to access, and few side effects. Men with a latex allergy should use condoms made from a material other than latex, such as polyurethane. Female condoms are typically made from polyurethane and may be used multiple times.Condoms as a method of preventing STIs have been used since at least 1564. Rubber condoms became available in 1855, followed by latex condoms in the 1920s. It is on the World Health Organization's List of Essential Medicines. In the United States condoms usually cost less than US$1.00. As of 2019, globally around 21% of those using birth control use the condom, making it the second-most common method after female sterilization (24%). Rates of condom use are highest in East and Southeast Asia, Europe and North America. About six to nine billion are sold a year.

View More On Wikipedia.org
  1. Uhaba wa Condom za msaada - Corner Bar Afrika Sana

    1. Kumekua na uhaba wa Kondom za Msaada (toka kwa wafadhili) hapa mashine ya kutolea Kondom (Condom Vending machine) Kona baa Sinza. 2. Inabid watu wapige mbichi ku-kutembelea rim. 3. Tafadhali Mheshimiwa Dr Waziri tukumbuke wapiga Kura wenu.
  2. Mwanamke akikwambia vaa condom, usikatae

    Mwanamke akikwambia vaa condom usikatae na muheshimu sana.
  3. W

    Hakuna kipindi chenye ulazima wa kuvaa condom kama sasa, Baada ya msaada wa ARV kusitishwa tutegemee maambukizi kwa kasi ya radi

    Dawa za ARV zimekuwa na msaada mkubwa sana kuzuia maambukizi pale waathirika wanapokutana kimwili na ambao hawajaathirika. Imefikia kipindi mtu anaweza kutembea peku na idadi kubwa lakini akipima kasalimika, mshukuru sana hizo ARV. Baada ya misaada kusitishwa nchi za Afrika nyingi zipo katika...
  4. Hata kama Wapalestina hawakubaliki Marekani hili la mzigo condom wamesingiziwa.

    Katika kufafanua zaidi kuhusu kusitishwa kwa msaada wa Marekani chini ya utawala Trump Msemaji wa Ikulu ya Marekani akizungumza na vyombo vya habari amesema walipofanya ukaguzi wamekuta Gaza imepewa $million 50( takribani bilioni 100Tsh) kwa ajili ya kununua Condom. Huu ni uzushi mkubwa sana...
  5. Condom inaweza kuzuia mikosi?

    Hii imekaaje wataalamu wa mambo ya kiroho? Uzi tayari.
  6. Kwa wanaovaa condom haifiki mwisho! Ile sehemu inayobaki wazi haiwezi kukupelekea kupata maambukizi?

    Wakuu swali hili. Kama ushawai tumia kondom utaungana na mimi sehemu ya mwishi karibu na shina condom huwa haifiki na hii kupelekea wakat wa tendo kulowa au kugusana maji maji Je, hii haiwezi sababisha maambukiizi?
  7. A

    Namna ya kutumia condom kwa usahihi wakati wa tendo la ndoa (kujamiana)

    Kutumia kondomu kwa usahihi ni muhimu kwa ajili ya kinga dhidi ya magonjwa ya 1. Kagua kifurushi: Hakikisha kifurushi cha kondomu hakijapasuka au kuharibika. Angalia pia tarehe ya mwisho wa matumizi. 2. Fungua kwa uangalifu: Fungua kondomu kwa upole kwa kutumia mikono yako. Epuka kutumia meno...
  8. Condom ipi ni imara

    Habari Wana jamii forum, Mimi ni mfanyabiashara wa duka la rejareja, naomba kuukiza condom gani ni nzuri na Zina utamu Sana niweke dukani kwangu na zitapendwa na wateja na Zina utamu Sana
  9. Nauza condom za mtumba.

    Kwa anaehitaji ancheki Msiogope sio tu nguo za mtumba hata condom zipo za bei poa Cya Zina lazy nzuri kama mpya
  10. Tayari, keshaumia anatoa kamasi tu huko chini.

    Tukisema tumieni condom muwe mnaelewa basi. Uzi kwisha!
  11. Condom gani inautamu zaidi?

    Wakuu kuna condom ina utamu zaidi ya rough rider?
  12. Hili la Condom sitalisahau

    Nikiwa ndo kwanza nimemaliza darasa la saba miaka ya mwanzoni mwa 90, kuna binti nilimvusha binti ambaye siku hiyo nilikusudia kutumia condom kwa mara ya kwanza. Kwanza sikuwa nafahamu kwa nini niliamua kutumia condom kwa siku hiyo. Baada ya binti kuzama chumbani mi nikachukua condom nikaenda...
  13. Tulipogomea Msaada Chanjo za Covid mlitupiga Vita sana. Sasa hadi Condom za Msaada hatutaki nazo

    Mkaanzisha na uhamasishaji tuchanjwe. Msaada wa mchele tunakataa sababu hauna manufaa kwetu sisi baadhi ya watu. Usaid watoe pesa waone kama tutakataa... Mchele hatuwezi chukua peleka majumbani kwetu. Hauna faida kwetu. Next time watoe mkwanja tukanunue mchele hata Kenya( kwa ambao wananunua...
  14. Kwanini 'Ukingonoka' na Wanawake kutoka Malawi waliojazana Tanzania wala huwa 'hawajihangaishi' kukuambia uvae Condom?

    Naanza sasa kupata Hisia kuwa huenda Taifa la Malawi lina Agenda Ovu na ya Siri na Tanzania na Watanzania. Walianza na kutuletea Panya wao hawa wa sasa wenye Mkia mfupi, wanalia kama wanapiga Miluzi na ambao ukiwawekea Sumu hawafi hawaliwi na Paka na wala hawana Kasi ya Kukimbia kama ikitokea...
  15. G

    Sababu mojawapo kuu ya kutahiri ni kuweza kutumia condom, Mtu mwenye mkono wa sweta hawezi kutumia condom hivyo yupo hatarini zaidi kupata magonjwa

    Wapo watu akiwamo mgombea urais wa Kenya William Ruto kutetea kwamba hakuna haja ya kutahiri sababu ndivyo tulivyoumbwa Mkono wa sweta na condom ni sawa na kutumia mafuta ya kujipaka mwilini useme upikie chakula Huo mkono wa sweta laba uupige stepla iwe condom
  16. P

    Kutumia condom ambayo ilikuwa expired mwezi huohuo, unaweza ambukizwa?

    Kuna mtu anauliza, Kama alishiiriki sex mwezi December , na mtu kwakutumia condom ambayo ilikuwa expired mwezi huohuo yaan mwezi December Je Kama huyo MTU Ana maambukizi anaweza kuambukizwa??
  17. M

    Kwanini matumizi ya Condom hubaki kwa mwanaume ndiye mwenye uamuzi?

    Kichwa cha habari chajitosheleza...Yaan mwanamke hubaki kusikiliza mwanaume ameamua nini...Huwa hawajali kabisaa,awe msomi, mwanafunzi, mke wa mtu na n.k.. Wenyewe hubaki kusikiliza mwanaume kaamua nini ...
  18. P

    Kama Condom zinagawiwa bure basi Pedi nazo zigawiwe bure

    Kama vile condom zinagawiwa Bure Basi na pads ziwe zinagawiwa bure
  19. Aina za wanawake ambao lazima utumie condom pindi unapofanya nao mapenzi

    Wafuatao ni aina ya wanawake ambao ni lazima uvae condom pindi unapofanya nao mapenzi. 1. Ikiwa ana Tattoo vaa hata Condom tatu kwa pamoja utakuja kunishukuru 2. Kama anakunywa bia hakikisha unavaa Condom 3. Kama anafanya kazi kwenye saluni za kiume/zakike ndugu yangu vaa Condom 4. Kama ni...
  20. S

    Ukiona mpaka navaa Condom tafsiri yake sina imani na afya yako

    Huwa nachukizwa sana na wanawake ambao katikati ya mechi anakuomba uvue Condom Weekend iliyopita nilikua na manzi flani Lodge sasa mzee mzima wakati nipo round ya tatu manzi akaniomba nivue Condom na alivoona sitaki kuvua akaniuliza "huniamini" ??? Mpaka navaa Condom tafsiri yake ni kwamba...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…