Wakuu habari za majukumu ya hapa na pale.Naomba kama Kuna mwenye kazi au connection za kazi,mahali popote professional nimesoma ualimu,“Diploma for secondary education ”masomo ya phizikia,pamoja biologia.Pia ambazo siyo professional Kama
—⟩Ufugaji wa kuku aina ya broiler.
—⟩kilimo Cha bustani...
Ndugu zangu habari ya majukumu ya siku ya leo, natumaini Mungu anawatunza vyema. Mimi ni kijana nina ndoto za kwenda nje ya nchi kufanya kazi za vibarua, naamini wana JF wengi wanafahamu mambo mengi maana ki maisha tumetofautiana.
Basi yeyote mwenye information zozote kulingana na suala langu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.