Free content, libre content, or free information is any kind of functional work, work of art, or other creative content that meets the definition of a free cultural work.
Hilo nimelibaini katika pitapita zangu huko twitter.
Na kingine na maana ubunifu wa kutengeneza maudhui umeisha hadi content nyingi ziwe zina relate tu na mambo ya uasherati na uzinzi🤔
Confession: True story: mwaka 2024 Nimeshuhudia vijana (watu wa karibu) wakitengeneza zaidi ya 15M+ kila mmoja kwa mwaka kupitia content creation.
Siwezi kuwataja (wanaona hii tweet)
Leo nitakupa sori na njia wanazotumia kupata hizo pesa
Wengine wapo chuo, dropout
Nimewashuhudia wakiwa...
Bila content, hakuna engagement na bila engagement, hakuna mauzo!
Kwa Nini Content ni Muhimu?
Inajenga Uaminifu na Brand Awareness – Wateja wanapokuona mara kwa mara na kupata elimu kuhusu bidhaa zako, wanajenga uaminifu kwa biashara yako.
Inaongeza Engagement – Watu wanapenda maudhui ya...
=========UPDATE========
NAFASI ZIMEKWISHA JAA, NA HILI TANGAZO LIMEFUNGWA, ASANTE.
================
Hello bosses and roses...
Anahitajika binti wa kufanya majukumu yafuatayo kwenye kampuni inayojihusisha na utengenezaji wa software. Ataanza majukumu hayo remotely (kufanyia kazi popote alipo)...
Unahitaji content(maudhui) inayovutia, yenye uhalisia, na inayobadilisha wasomaji kuwa wateja? Iwe kwa ajili ya blog/ website yako, product descriptions, email marketing, business documents, video scripts, au social media posts!
Tuna uzoefu wa kuandika makala, blog posts, SEO content, na hata...
Jambo la msingi ni kutengeneza content yenye quality ya level za kimataifa mtiririko unakuwa kuangazia production process ya hicho kinywaji from scratch mfano pombe kama ulanzi unaangazia jinsi inavyotengenezwa mpaka kuwa tayari kwa matumizi.
Pia kunywa pombe yenyewe na kutoa mtazamo juu ya...
Content creators au watengenza maudhui katika mitandao ya kijamii huingiza pesa katika namna mbili.
Namna ya kwanza ni ile ya kulipwa na platform husika (mf. X.com, tiktok au YouTube)
Namna ya pili ni ile ambayo naweza kuita kujiongeza au niite monetization.
A. Kulipwa na platform husika...
STORM: Stanford's AI Revolution in Research and Content Creation
In today's world, where information is abundant but often fragmented and overwhelming, the need for efficient and reliable research tools is paramount. Are you struggling to extract reliable data from the sea of online...
Position: Consultant for Content Development of an E-learning Course
Location: Tanzania (Dar es Salaam)
Duration: 1st December 2024 – 28th February 2025
Application Deadline: 18th November 2024
Required Languages: English and Kiswahili
JamiiForums, through the “Mwananchi Makini” project...
Wakuu habar zenu
Natafuta Mtu anaweza kutengeza content za youtube
Aina ya content ni zile zinazohusu Simuliz mbalimbali za kimaisha
Simulizi ziwe interesting na za kusisimua
Sharti uyo mtu awe mkoa wa mbeya
Septemba 16 2024 Dunia ilipata taarifa kuwa Sean Combs ametiwa nguvuni na mamlaka na kuzua gumzo kubwa sana katika vyombo vya habari duniani, siku chache baadaye chombo cha habari cha TMZ kilitangazia dunia kuwa katika nyumba ya Combs kumekutwa zaidi ya chumba elfu moja za mafuta ya watoto (Baby...
Ukikutana na Contents ambazo hazieleweki Fanya hivi
Angalia huyo anayeandika amejiunga lini JF ukikuta ni 2020-2024 usiangaike kumjibu
Hao ni vijana wa Facebook
Hapa JF kuna I'd moja ya mkongwe ambaye hataki kukua kiufahamu anajiita po po ma
Katika mjadala wa utofauti wa elimu nchini Tanzania, kuna dhahiri kwamba safari ya Baba Levo Marekani inaonyesha tofauti kubwa kati ya wasomi na wale wasio na elimu rasmi. Baba Levo anatumia mbinu nzuri katika kutangaza makampuni yaliyompa udhamini, na anajulikana kwa ufanisi wake.
Kwa upande...
Baada ya kuona Episode I: Kuchagua Camera, Episode II: Kuset light, sasa simply nikukumbushe Kufanya Editing.
Edit ni process ndefu, na inachukua muda kujifunza. Ila hainamaana uogope, kikubwa keep on trying kila siku kuimprove quality ya video na audio yako.
Software na Apps ambazo unaweza...
Baada ya kuchagua camera kwa matumizi na budget yako (episode I), sasa tuanze kurecord. Tuta-assume accessories chache sana tunazihitaji kutokana na budget yetu.
Tufanye sisi ni content creator tunaoongelea mambo ya mapishi. Sasa tuanze kuset mazingira yetu ya kurecord.
Tutaweka story katika...
Wakuu, especially mnaopenda tasnia ya "content creator" kwenye social media, naanza kwa kuwauliza, unatumia camera gani kurecord video?
Iwe ni kwaajili ya YouTube, au kwaajili ya Instagram au TikTok, quality ya video na audio jumlisha na storyline nzuri ndio vitakavyokuweka tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.