Najua si rahisi sana lakini ni vema kama nchi ikapambana kujua vema na kuwaongoza wananchi wake:-
Maabara zitambue kwa makini chanjo hizo ziko na vitu gani hasa(content)
Tutafsiri kila kimoja na faida au madhara yake.
Bado dunia haikimbilii sana hizi chanjo.
Bado vifo vimeripotiwa kwa hizi...