continental

  1. Zamaulid

    King'amuzi cha Continental ovyo kabisa

    Hawa jamaa walikuwa hawako hewani siku nyingi. Wakarejea na kutuma meseji Kwa tuliokuwa wateja wao. Cha ajabu ukiwapigia hawapokei simu, na ikitokea bahati mbaya wakapokea wanajibu utumbo na kukata simu. Hii meseji yenu nyie continental mnatutumia ya nini?! Ndugu mteja,kama bado unapata shida...
  2. babu M

    Tanzanian fintech startup NALA raises $10m funding for continental expansion

    Tanzanian fintech startup NALA has raised US$10 million in funding as it plans aggressive expansion across Africa in 2022. A past winner of the Ecobank Fintech Challenge and Seedstars Tanzania, NALA has developed an app that allows users to make payments from the United Kingdom (UK) to...
  3. Sky Eclat

    On this day in 1783, George Washington, then commanding general of the Continental Army

    On this day in 1783, George Washington, then commanding general of the Continental Army, summons his military officers to a tavern in New York City to inform them that he’ll be resigning his commission and returning to civilian life. Of course, in six years he’ll be coaxed out of retirement and...
  4. KAGAMEE

    Naomba msaada namna ya kuwasiliana na wahudumu wa king'amuzi cha continental

    Bila kuwashosha wakuu wangu naomba msaada wa namna ya kuwasiliana na wahudumu tajwa hapo juu.
  5. Ndebile

    TCRA imulike hujuma inayofanywa na Star TV (Kisimbuzi cha Continental)

    Wamefunga channel za bure kama TBC1, nk. kwa muda sasa, mwanzoni walikuwa wanazifunga kwa siku za mwisho wa juma na kuzifungua Jumanne ila sasa naona kwasababu ya ukimya wenu wamezifunga kabisa na hivyo kuwanyima Watanzania habari ambayo ni haki yao. Tunaiomba TCRA hawa watu wafuate masharti ya...
  6. Samaki Nchanga

    Ni ipi channel yako bora kwenye king'amuzi cha DStv, Azam, Startimes, Zuku na Continental?

    Habari wakuu! Kuna zaidi ya channels 100 karibia katika kila King'amuzi Kwangu mimi mtumiaji wa DStv japo tunakosa uhondo wa channel za nyumbani lakini moja kati ya channel zangu Bora ni Maisha Magic East & Maisha Magic Bongo. Ukiondoa na chanel za michezo, basi utanikuta kwenye channel za...
  7. TheDreamer Thebeliever

    Naomba unieleweshe kuhusu ving'amuzi vya Zuku na Continental

    Habari wadau! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Naomba unieleweshe kuhusu ving'amuzi vya Zuku na Continental kwa wale wazoefu nahitaji kujua kuhusu bei ya kununua vifurishi na channels zilizopo. Asanteni
  8. Sinister

    Kenya crowned world's leading tourism destination

    The award comes barely three weeks after Kenya scooped top continental awards. In Summary •This is the 7th time in the past 8 years and 6th time in a row that Kenya has won the prestigious award at the annual global awards. •This is after having won the award in 2013, 2015, 2016, 2017, 2018...
Back
Top Bottom