Hawa jamaa walikuwa hawako hewani siku nyingi. Wakarejea na kutuma meseji Kwa tuliokuwa wateja wao. Cha ajabu ukiwapigia hawapokei simu, na ikitokea bahati mbaya wakapokea wanajibu utumbo na kukata simu.
Hii meseji yenu nyie continental mnatutumia ya nini?!
Ndugu mteja,kama bado unapata shida...
Tanzanian fintech startup NALA has raised US$10 million in funding as it plans aggressive expansion across Africa in 2022.
A past winner of the Ecobank Fintech Challenge and Seedstars Tanzania, NALA has developed an app that allows users to make payments from the United Kingdom (UK) to...
On this day in 1783, George Washington, then commanding general of the Continental Army, summons his military officers to a tavern in New York City to inform them that he’ll be resigning his commission and returning to civilian life.
Of course, in six years he’ll be coaxed out of retirement and...
Wamefunga channel za bure kama TBC1, nk. kwa muda sasa, mwanzoni walikuwa wanazifunga kwa siku za mwisho wa juma na kuzifungua Jumanne ila sasa naona kwasababu ya ukimya wenu wamezifunga kabisa na hivyo kuwanyima Watanzania habari ambayo ni haki yao.
Tunaiomba TCRA hawa watu wafuate masharti ya...
Habari wakuu!
Kuna zaidi ya channels 100 karibia katika kila King'amuzi
Kwangu mimi mtumiaji wa DStv japo tunakosa uhondo wa channel za nyumbani lakini moja kati ya channel zangu Bora ni Maisha Magic East & Maisha Magic Bongo. Ukiondoa na chanel za michezo, basi utanikuta kwenye channel za...
Habari wadau!
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.
Naomba unieleweshe kuhusu ving'amuzi vya Zuku na Continental kwa wale wazoefu nahitaji kujua kuhusu bei ya kununua vifurishi na channels zilizopo.
Asanteni
The award comes barely three weeks after Kenya scooped top continental awards.
In Summary
•This is the 7th time in the past 8 years and 6th time in a row that Kenya has won the prestigious award at the annual global awards.
•This is after having won the award in 2013, 2015, 2016, 2017, 2018...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.