Ocnele Mari is a town located in Vâlcea County, Oltenia, Romania. The town administers eight villages: Buda, Cosota, Făcăi, Gura Suhașului, Lunca, Ocnița, Slătioarele and Țeica.
Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) imeteketeza vifaa na bidhaa vilivyokamatwa kwenye operesheni ya kutokomeza uharamia nchini dhidi ya kazi za sanaa na fasihi pamoja na usambazaji wa matangazo ya televisheni kinyume na sheria
zinazokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Tsh Milioni 75 amesema...
Tanzania Music Rights Society kwa sasa inatoa leseni za sanaa zinazoruhusu matumizi ya kazi za kibunifu katika maeneo ya kibiashara ambazo kabla ya mabadiliko ya sheria ya fedha zilikuwa zikitolewa na COSOTA. TAMRISO ndio sasa watakusanya na kugawa mirabaha sasa
Mirabaha ni nini?
Ni fedha...
WAZIRI DKT. NDUMBARO AIPONGEZA COSOTA NA KUTOA MAAGIZO
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameiagiza Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) iandae taarifa kuhusu mgogoro wa Hakimiliki kwa kazi ya ubunifu wa michoro ya Tingatinga pamoja na kufuatilia Mtunzi na Mmiliki...
Taasisi ya CINT inayofanya kazi ya Utetezi, Uzengezi na Uwezeshaji, Kuwaunganisha Wasanii na Taasisi zao na Kuzungumza kwa niaba ya Sekta ya Ubunifu Tanzania katika maeneo ya Sera, Fedha, Sheria, Elimu, Miundombinu na Teknolojia imezindua Ripoti ya Wadau wa Sekta ya Sanaa Tanzania ambapo katika...
Huu ndio utaratibu mpya wa recording label namba moja Africa.
Japo hauwezi kuzuia watu wabaya kuwarushia maneno ila utapunguza wachimba chumvi kutema nyongo zao.
Kwa sasa kupata nafasi WCB Wasafi linakuwa ni jambo la kitaifa.
WCB for life baby!
===
Alichoandika Babu Tale.... Hivi karibuni...
COSOTA imesema wasanii watapata 70% na serikali itachukua 30% ya mirahaba itakayokusanywa kutoka kwenye vituo vya redio, TV na maeneo mengine yanayocheza nyimbo za wasanii kuanzia Desemba 2021. Serikali imeeleza hiyo 30% itaiwezesha kufika maeneo mengi zaidi kukusanya fedha hizo.
Uharamia (piracy) sio jambo jipya katika sanaa nchini, lilichangia kuanguka kwa BONGO MOVIE hasa baada ya mapato kupungua leo wasanii wamebaki kulaumu foreign films, TV shows and series wakati ukweli wanaujua dhahiri.
Now jinamizi hili limeshika hatamu katika upande wa Bongo fleva, tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.