covid-19

Testing for the respiratory illness coronavirus disease 2019 (COVID-19) and the associated SARS-CoV-2 virus can be done by polymerase chain reaction (PCR) testing, nucleic acid tests and ELISA antibody test kits. One study published in February 2020 claims that chest CT scans perform better than PCR tests.

View More On Wikipedia.org
  1. Tlaatlaah

    Tetesi: Baadhi ya wabunge wa viti maalum CHADEMA, kupokelewa CHADEMA makao makuu Juni baada ya bunge kuvunjwa

    Huenda hatma ya uanachama wa wabunge wa viti maalumu wa chadema, maarufu kama wabunge wa COVID-19, ikajulikana mara tu ya bunge kuvunjwa. Inasemekana watapokelewa kwa mapokezi maalumu rasmi chadema mwezi June mwaka huu, mara baada ya ya vikao rasmi vya maridhiano na muafaka wa pamoja kufikiwa...
  2. Nehemia Kilave

    Pre GE2025 Kina Halima Mdee kufika uchaguzi mkuu 2025 wakiwa Bungeni ni Dharau kubwa kwa vyombo vya Sheria , nini kifanyike ?

    Mwanzoni tulimlaumu hayati Magufuli kwamba ndiye anawatetea na kukandamiza mihimili mingine . Baada ya Muda tukagundua kuna Mkono wa Mwenyekiti Mbowe pia kwenye hili suala . Kwa ujumla wanasheria wameonesha udhaifu mkubwa sana , lakini mamlaka zimeonesha udhaifu. Hawa wabunge 19 wanamaliza...
  3. OKW BOBAN SUNZU

    #COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

    Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19. Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam wa afya kutaka watu kujikinga na maambukizi kama kuvaa barakoa yalikuwa hayazingatiwi hasa katika...
  4. Waufukweni

    Mlipuko mpya wa Virusi (HMPV) wazuka China, miaka 5 baada ya janga la COVID-19, Hospitali na sehemu za kuchomea maiti zazidiwa

    China inakabiliana na mlipuko mpya wa virusi vya human metapneumovirus (HMPV), vinavyoenea kwa kasi katika majimbo ya kaskazini, hasa kwa watoto wenye umri chini ya miaka 14, ikiwa ni miaka mitano baada ya janga la Covid-19. Ripoti na machapisho kwenye mitandao ya kijamii yanadokeza kuwa virusi...
  5. T

    Wenje usipotuambia COVID-19 na Abdul wamemchangia Mbowe kiasi ngani kati ya hizo 250m. Tutaamini uongo wa Lissu akikujibu.

    Nakushauri tu tuambie waliomchangia Mbowe hizo 250m alizotoa badala ya 50m alizopangiwa na Kamati Kuu.
  6. G

    Ukisoma waraka wa Chacha Wangwe (rip), Mbowe alighushi majina ya viti maalum uchaguzi wa 2005. Huu ni ushahidi kuwa kwenye COVID-19 kuna mkono wake

    Soma mwenyewe hii sehemu inayopatikana ktk Waraka wa Chacha Wangwe alioutoa wakati anagombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa". Soma mwenyewe hapa chini sehemu ya waraka huo: UTEUZI WA WABUNGE WA VITI MAALUM ...."Naamini ukweli wa suala hili hauna mjadala. Kwamba Mhe. MBOWE na wafuasi wake...
  7. G

    Kwa kuwa Lissu ameamua kufunguka, naomba aulizwe:- je, ni kweli Wabunge 19 waliosheheni wake wa vigogo wa CHADEMA walijipeleka bungeni?

    Pamoja na covid-19 kubeba uongozi wa juu wa BAWACHA, lkn pia Kuna:- 1. Mke wa Benson Kigailla.....naibu katibu mkuu bara. 2. Mke wa Salum Mwalimu (naibu katibu mkuu Zanzibar). 3. Mke wa Ally Bananga (yuko ccm sasa).....alikuwa meneja kampeni wa mgombea urais wa chadema. Bila shaka kama Mnyika...
  8. Mathanzua

    U.S. Government COVID-19 after action report is out .It clearly shows that those who were called "Conspiracy Theorists" were RIGHT

    U.S. Government COVID-19 after action report is out .It clearly shows those who were called "Conspiracy Theorists" were RIGHT,and everyone else was wrong Hal Turner World December 02, 2024 The US House of Representatives "COVID Committee" has released its Final Report (527 Pages) and it's now...
  9. Mwamuzi wa Tanzania

    Hii nchi ina matahira wa kutosha. Inakuwaje mtu ajivunie pesa za msaada wa COVID-19?

    Hello! Miaka 2, 3 iliyopita tulipata billions and billions kutoka kwa Wazungu ili tukabiliane na athari za COVID-19. Pesa zile nyingi zilikwenda kwenye elimu. Zilijenga vyoo vya shule na kujenga madarasa mengi hapa nchini. Wachache tuliona ni jambo jema lakini tulitoa kasoro. Inamaana bila...
  10. M

    Baada ya Chanjo ya COVID-19 sasa Monkey pox

    Baada ya chanjo ya COVID-19 kutolewa nchini kwa mafanikio makubwa ambapo vifo vilipungua kufikia zero baada ya Serikali kuingiza nchini na kuhamasisha matumizi yake kuna janga lingine kwa majirani wetu hasa DRC. Changamoto ya ugonjwa wa monkey pox tayari imeshapatiwa chanjo na hivyo muda si...
  11. M

    No president who came to power after Covid-19 has ever rested

    Although it is not my fault, first of all I would like to apologize to all JF members with inability to read and understand whatever written in English. I really wanted to write this thread in Kiswahili but I am not very fluent in Kiswahili. No president who came to power after Covid19 has ever...
  12. Tlaatlaah

    Kama chama kimeshindwa kushughulikia na kumaliza issue ya wabunge 19 wa covid-19? Ni nini wataweza sasa

    sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani...
  13. Jaji Mfawidhi

    Halima Mdee kushawishi Covid-19 kurudi CHADEMA, je Wasamehewe na Chama au Wananchi?

    Baraza kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, limethibitisha uamuzi wa kamati kuu ya chama hicho cha upinzani Tanzania na kuwavua uanachama wabunge 19 wa viti maalumu wanawake. Je, Mdee baada ya kusemekana kushawishi wenzake wanataka kurudi kuomba Msamaha CHADEMA , tunajiuliza...
  14. Carlos The Jackal

    Astrazeneca yaondoa chanjo yao ya Covid-19 (Astrazeneca Covid-19 Vaccine) kwenye Soko la Dunia

    🇬🇧🇸🇪 AstraZeneca is withdrawing its Covid vaccine worldwide, The Telegraph reports. The pharmaceutical giant recently admitted in court for the first time that its vaccine can cause a rare and dangerous side effect. But the company claims the recall decision is purely commercial, as the...
  15. Suley2019

    New Covid-19 variant circulates in Kenya

    New Covid Variant A new Covid-19 variant is in circulation in the country. Doctors say the new variant called JN1 and and Swine Flu
  16. T

    John Mnyika: Hakuna kesi ya Covid-19 mahakamani, Kinana mwongo, Spika awaondoe

    Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika, ameanika namba ya Spika hadharani ili ahojiwe moja kwa moja na Wananchi kwa kukataa kutii sheria inayomtaka awaondoe bungeni watu 19 waliofukuzwa uanachama CHADEMA, al maaruf Covid 19. Amesema maelezo ya CCM kupitia Kinana kwamba watu hawa wanasubiri...
  17. BARD AI

    Wizara ya Afya: Watanzania Milioni 32 wamepata Chanjo ya COVID-19

    Watu Milioni 32 sawa na asilimia 53 ya watanzania wakamilisha chanjo dhidi ya Uviko-19 WIZARA ya Afya imesema kuwa hadi kufikia Desemba mwaka jana jumla ya watu Milioni 32.5 ambao ni sawa na asilimia 53 ya watanzania wote wamekamilisha chanjo dhidi ya ugonjwa wa Uviko-19. Hayo yalibainishwa...
  18. and 300

    Chanjo ya COVID-19 mbona sisikii kampeni tena?

    Lile dili la kuchanja watu nchi nzima limeishia wapi? Maafisa, wameshakula pesa zao na kununua Apartments Dubai, wamesizi wanasikilizia mchongo mwingine? Aisee mjini mipango!
  19. J

    Boris Johnson: Wakati mwingine Kwenye majanga kama ya Covid-19 ni Heri kutumia common sense

    Ni Heri kutumia common sense kama yule Rais fulani wa Africa aliyesimama Imara na kuiponya Jamii yake Johnson alikuwa akijibu Swali la Jaji huko UK Sijajua huyo Rais wa Africa anayempongeza ni nani! Maandalizi Mema ya Sabato 😀 --- Boris Johnson says more "common sense" should be used at...
  20. M

    Research design ipi ni nzuri kutumia kwa title ya pandemic outbreak kama COVID-19?

    Wakuu habari za weekend, Naomba kuuliza, hivi unapo conduxt research kwa title za natuaral disaster kama COVID-19 , NI RESEARCH DESIGNI ipi ni nzuri kuitumia hasa kama unatumia case study ya mkoa mmoja katika taasisi moja? Na je sample size and techiniques , katika designi iyo ni ipi ina kuwa...
Back
Top Bottom