cow

  1. Logikos

    Tanzania (Cradle of Humanity na Moja ya Chimbuko la Mapinduzi Afrika) - The Untapped Cash Cow kupitia Utalii

    Tanzania - Chanzo cha Binadamu Kwanza kabisa ya Kaisari tumuachie Kaisari....; Tukifuata Historia Tanzania ni kwamba Chimbuko la Binadamu wa Kwanza ni nchini Tanzania Olduvai Gorge.., Ni kwamba hapa ndio Chanzo cha Binadamu na wote tumetokea hapa....; - Sasa hapo utaona kama vile watu...
  2. Lameckjr

    Natafuta ngozi za Ng'ombe/sundry cow hide

    Habari wadau!! Mimi mfanyabiashara (exporters) nina mteja wangu, anahitaji ngozi ya ng'ombe/sundry cow hide Kama cntr 4 ×40ft Kama mnajua wauzaji hapa Tanzania, pls naomba mnielekeze 0768464901
  3. N

    Milk cow allergy

    Mwanangu ana allergy ya milk fomula yenye maziwa ya ngombe skimmed cow milk na soy milk formula wadau natumia maziwa gani?. Au anaweza kushinda na vyakula mpaka Mama yake aje anyonyeshe saa 10 jion maana Mama yake anaondoka asbh sana. Umri miezi 9.
  4. IAfrika

    Tanzania, Rwanda na Uganda zaunda soko moja la hisa

    Nyakati zabadilika kweli. Tanzania Uganda, na Rwanda zimeungana kuunda soko moja la hisa. Tumetoka siku za COW hivi sasa nchi za Africa mashariki zinaendelea kuitenga Kenya. Kenya imepoteza deals kadha za ukanda huu kwa mda wa hivi karibuni but we still hold strong. Haya yote yanafanyika bila...
Back
Top Bottom